Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I agree that if all your projects are completed then there is a possibility of Tanzania becoming the economic powerhouse of this region.
That Tanga kuna mega cement companies zina-invest over $7 bln worthy of Industries walikuwa wanangojea huu mradi na pia kuna wale walinunua ARM cement plant n Maweni Limestone Ltd!

 
Ipi hiyo iliyofunika,mbona huitaji ? unabwabwaja tuu.2015 tayari Wajapan walikuwa site Tazara na Ubungo,Wakorea walikuwa kwenye mobilization ya salander bridge na pesa zilikuwepo alizo mobilize JK

Tumiradi tembo mweupe twa Magu ni stori na kujisifia bila ku deliver,huyu alishadhibiti freedom of press and opposition ili wasifukue madudu ila bado ni mtu wa kulia lia since day one..tuonesheni reli basi.

Miaka 10 ya JK aliifungua nchi kwa barabara za lami sasa miaka 5 ya Magu hadi leo hii kigoma na kanda ya magharibi ni kuogelea kwenye matope tuu,imagine eti ndani ya 5yrs wamejenga less than 4500km of paved afu ndio wana jimwambafy,hadi Mkapa alianza kumchana huyo mtu wanu.
Hivi una habari mpaka mwaka wa 3 wa utawala wa jpm alikuwa analipa madeni ya makandarasi wa kikwete.

Shirika la ndege lilikufa kipindi cha kikwete.
Shirika la reli lilikufa kipindi cha kikwete.
Shirika la meli lilikufa kipindi cha kikwete.
Alianzisha wilaya na mikoa isiyokuwa na ofisi, JPM ndio anajenga ofisi za mikoa na wilaya + hospitali za mikoa na wilaya.

Those are just few to mention.
 
Yaani tulifika cup finals in Madrid 7s? I am a die-hard rugby fan lakini this weekend I was busy I was not able to watch it. This is great news.
Tunawapa hongera sana mko vizuri nimeona game zenu Sana pale impala grounds ngong road🙂
 
Aisee hicho kiwanda cha coating pipelines kitakuwa wapi? naona kama vile Tanga! Ni investment kubwa sana! The plant will be the first in East and central Africa!
Tony254




View attachment 1709232


maxresdefault.jpg

Kuna mtu anasubiri umeme uwe idle🤣
 
Hivi una habari mpaka mwaka wa 3 wa utawala wa jpm alikuwa analipa madeni ya makandarasi wa kikwete.

Shirika la ndege lilikufa kipindi cha kikwete.
Shirika la reli lilikufa kipindi cha kikwete.
Shirika la meli lilikufa kipindi cha kikwete.
Alianzisha wilaya na mikoa isiyokuwa na ofisi, JPM ndio anajenga ofisi za mikoa na wilaya + hospitali za mikoa na wilaya.

Those are just few to mention.

ile hospitali ya kanda kule mara ilijengwa zaman na haikuwahi kumalizika for over 20+years... yey kajenga fasta tu... that’s one of the biggest indicators of seriousness in utilization of public money
 
Time ya kujidanganya uliisha, saa watu wanavaa barakoa mbili mbili at the same time hili wasipatwe na Corona. Saa hii watu wanaogopa Tanzania kama dawa.

IMG_20210222_224745.jpeg
 
Anaanzishaje ugomvi wakati anaishi kwenye nyumba ya vioo!
Kakimbia kuni block & ignore na aki ni unblock atakutana na tusi pro kwanini katoa block

Ni takataka ndio...kwani ni uongo? Hapo alipo anatembea na uchafu kwenye trakoo juu hawana utaratibu wa kujisafisha.
😃😃😃😃😃Tobaa
 
Hahaha, huyo Mzungu anaonekana akipata tu kwishney
mshikaji unaweza kunyamaza? Acha kujiaibisha tunapoteza very skilled personel kwa kudharau vitu simple kama kuchukua tahadhari na kujikinga! Ma-professor, ma-lawyer na ma-engineer waliosomeshwa kwa gharamakubwa na serikali wanapukutika!
 
Back
Top Bottom