Well said mkuu. Ila hawa viongozi wastaafu wawe na discipline japo kidogo. Najua wa hatred kwa Magu lakini waache tujikauli twa kubeza serikali ya sasa. Namuheshimu sana Prof. Mark Mwandosya lakini ukiangalia namna ambavyo huwa anai-adress Air Tanzania kwa mfano kwenye page yake ya twitter. Ukakumbuka pia Air Tanzania ilifanywa nini yeye akiwa waziri wa mawasiliano na uchukuzi, unabaki kusikitika. Kagasheki ndiyo hakuna hata haja ya kumzungumzia.
Viongozi wastaafu wasipende sana kuonesha Magu yuko wrong in public wakati yeye mara zote anajishusha sana kwao. Wanaweza kujimwambafai kwa kuvaa barakoa in public (ambayo ni haki yao) lakini wasipuuze Magu anaposema "mimi ni rais najua mengi".
Sweden wamepiga marufuku uvaaji wa barakoa with health minister Lena Hallengren akisema "the evidence supporting the wearing of face coverings is astonishingly weak"
"The Swedish public health agency has consistently stated that masks are ineffective and that their use could actually increase the spread of Covid-19 "
MAGUFULI is such a visionary leader.
Watu niliotaja humo, wanaratibu mambo mengi mno mtandaoni na Kikwete ndio mfano bora wa uongozi na kiongozi, wakitumia quotes zake nyingi.
Mimi nipo twitter as "@KipepeComrade" na ninapata info from various sources za kuaminika ambazo siwezi taja.
Kikwete anaongea mengi ya ujinga, akidai kwenye maazishi ya Mkapa kuwa, "Uchumi wa kati lilikua wazo la Mkapa" okay vyema, nani lakini, ni nani alituvusha huko?
Alienda mbali na kudai eti, "Mkapa alikua kiongozi bora na hakutaka kusifiwa"
Kwa umri wa Mwandosya, Khagasheki kukesha mitandaoni na kuretweet posts za kijinga za kina Maria Sarungi, Fatuma Karume ni utopolo wa hali ya juu sana. Group hili, na matendo ya Kikwete yanafanana sana.
Wote wapo against na serikali hii, ila kila mtu na style yake ya uchafuzi.
Kikwete's presidency was a waste of time.
Kikwete and his group of thugs led by Lowassa denied Tanzanians one of the greatest presidents we never had: Dr Salim Ahmed Salim. Mmbwa hao, 2005 ndani ya CCM walimchafua sana huyo baba na kumuhusisha na kikundi cha uhalifu huko Zanzibar.
Ujinga ujinga, unafki, ushakunaku, umbea - Kikwete hajaanza jana.
Akome na alegee.