Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yeah what agwan kenya ladies....rusting women

say yeah hiphop,,,,hapo tunawasindikiza na ngoma kali la buster rymes touch it remix....

say hiphop [emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

hii ni picha kali ya mwakaView attachment 1708734
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

She gotta gwan Ngwear
 
Kuna video niliona mahali uhuru anazomewa na Nairobi slums dwellers kama clown, yaani kama ingekua ndio Magufuli kazomewa vile media zote za Kenya zingetangaza mwezi mzima breaking news 😅😅😅

Ila tanzania sasa, hata thread humu sijaiona
Tanzania uwa atufuatiliagi habari za kunyaland,ila hao wenzetu kwenye news zao,youtuber wao,macomedian wao,tv and redio zao huwezi kukosa habari za Tanzania,na hata kwenye matatu 95% ya nyimbo zinazopigwa mle ni za Tanzania,ukija kwenye chakula 60% wanategemea kutoka Tanzania
 
Tanzania uwa atufuatiliagi habari za kunyaland,ila hao wenzetu kwenye news zao,youtuber wao,macomedian wao,tv and redio zao huwezi kukosa habari za Tanzania,na hata kwenye matatu 95% ya nyimbo zinazopigwa mle ni za Tanzania,ukija kwenye chakula 60% wanategemea kutoka Tanzania
Umeamdika kw kisengerenyuma[emoji1787][emoji1787]
Hapo najua unazijui county zetu karibia zote wakati hku mimi ukinambia nikutajie mikoa yenu mitano tu nutaanza kusuasua..
 
Weiye mambo ya Nairobi Achana nayo huna habari na unacho kizungumzia[emoji846] mara ya mwisho umefika Nairobi lini?[emoji846]
Kw sasa nikikwambia nipo nairobi utaamini[emoji1787][emoji1787]
Halafu mbona wewe ukiskia jiwe limefikia kw linta chato huaga unanengua sana
 
Miradi yote lazima ilipiwe na wananchi Kwa njia moja au nyingine...au tz hawalipi kodi...ama hawelewi hata kodi ni nini....kwa sababu kizungu huwapiga Chenga hawa jirani aisee...hupitwa na mengi saana
Kwahiyo kodi ni kizungu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Bandari za tanzania zinazidi kuipa Mombasa middle finger [emoji28][emoji28][emoji28] Tony254

Wewe ni fala sana. Those are construction bulldozers that were initially working on the Tanzanian side and now is being transferred to Uganda to do another job. That's thing didn't pass through Dar is slum port. You make too much noise wakati Mombasa port alone imeshinda port ya Dar 3 times.
 
Anajua kila ward na MCA wao. Hawa watanzania wanajua women representatives wote from one county to the other. Watakuambia kitu imefanyika Garissa even before wewe mwenyewe ujue.
Umeamdika kw kisengerenyuma[emoji1787][emoji1787]
Hapo najua unazijui county zetu karibia zote wakati hku mimi ukinambia nikutajie mikoa yenu mitano tu nutaanza kusuasua..
 
Kw sasa nikikwambia nipo nairobi utaamini[emoji1787][emoji1787]
Halafu mbona wewe ukiskia jiwe limefikia kw linta chato huaga unanengua sana
Ushagundua kuwa huyo jamaa amefurahi just because he is going to Nairobi?[emoji23][emoji23]
 
According to research nimegundua Dar ni mji zero kabisa katika real estate, nimeulizia malazy humu wanaishi wapi wote wakasepa. Kando na vigorofa vitatu, kariakoo kwa warabu na wahindi, ubungo ya msaada hakuna tofauti na Mogadishu.
 
Back
Top Bottom