Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jana niliingia Dodoma nikasema ngoja ninyooshe kidogo miguu kutembea mjini (kutoka hotel niliyofikia) yaani kuna machinga kinoma.
Maeneo ya makao makuu ya ccm kuna machinga wa kutosha hadi ile barabara iliyoko karibu na Nmb Dodoma branch wameiziba yote.
Nikatokea maeneo ya Square pale asee kuna machinga kinoma hadi wamepewa barabara yote two lanes na sehemu za watembea kwa miguu yote wanamiliki machinga 😂😂😂 mtaa mzima wanamikiki machinga.
Nikatokea tena kule karibu na soko asee machinga wametawala barabara hadi sehemu za watembea kwa miguu.

Nikapita tena usiku huwezi amini barabara zinavyo kuwa nzuri machinga wakiwa hawapo.
Serikali ya Magu imefanya wote tuwe machinga maana hawataki vibrant private sector,saizi ni mwendo wa machinga na mama/baba ntilie unalipa 20,000 unatafuta vijana wanauza,nani anataka kukimbizana na TRA
 
Nje ya Dar mna mji upi mtaita city?., Na usiniambie Mwanza, kazi yake tulimaliza., Tanzania ni msitu bado., those so called urban centres ni kichekesho., outside Dar hakuna city.,
Na kusema the most developed in East Africa, sisi atusemi watu wa nje wenyewe wanashuhudia., If you Google the most developed city in East Africa utapata jibu tu., na sio kwa wakenya., wewe meza wembe.,
Ujenzi holela unasababisha miji yetu ionekene vituko,hakuna public garden na miundombinu bado ni very underdeveloped sana
 
Back
Top Bottom