Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huu uzi ni wa kununua na kuvaa popote hasa unapokuwa nje ya Tanzania
IMG_1612544617.134901.jpg
IMG_1612544642.348294.jpg
 
Ni kawaida mega projects kuchukua muda unless kuna upigaji kama mradi wa SGR Kenya! Mwezi March FID inasainishwa!
FID ndio the most important decision. Ikisainiwa basi ni sawa. Mradi utakuwa upo karibu kuanza.
 
Mzee wa wheelbarrow 🤣🤣🤣 yani politician wanachezea pesa za taxpayers mpaka raha😅😅😅

 
Back
Top Bottom