Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Video clips zimewekwa humu sio mara moja, ata Dandora inajulikana Kama slum ju ya crime rate iku juu sana, but flats ni 80% of that area, na kama kawangware ni slum, then the whole Dar residential ni slum., hapa Kenya ata pipeline area is considered a slum., hiyo ikiwa Tz mtaita nini? Town?, Kwa vile wamejaza maghorofamaneno ata kwe khanga yapo......
we weka picha acha blaablaaaa



nakwambia mko ovyo from fikra to your manifestation., 









♂️