Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha. Waligongwa na Wachina vibaya sana hawa Waganda. Wakiona ya Kenya ikielea kwenye city bila ya kupita juu ya misitu watalia na kusaga meno na kuwaambia Wachina wawarudishie pesa yao.
Ya Uganda iko sawa, it is from Kampala to Entebe airport, passing over a swampy area looking bushy, only that, hakuna msitu, stop hating, hizo ni tabia za kitanzania, wivu na kinyongo all the way kuna developments..,
 
Ya Uganda iko sawa, it is from Kampala to Entebe airport, passing over a swampy area looking bushy, only that, hakuna msitu, stop hating, hizo ni tabia za kitanzania, wivu na kinyongo all the way kuna developments..,
Ni facts. Hakuna mambo ya hating hapa. Kama una facts zako kuonyesha kwamba most of their expressway inapitia developed areas weka hapa.
 
Kama pale tazara flyover na viaduct ya sgr pembeni,ukikaa kwa juu yaani seoul hii hapa ila ukiangalia kwa chini hivi kuanzia kwenye geti la bakhresa ni vibanda vya mbao tu yaani lazima unyong'onyee tu hata kama ulitaka kupiga photo kali
Tuvivumilie tu hadi rais wa awamu nyingine aje.
Huyu wa sasa inaonekana anawapenda sana huoni amewapa hadi vitambulisho
Hii ishu ya machinga kupanga vitu chini na kuzuia barabara ni shida kubwa sana. Hata baadhi ya maeneo wanazuia entrance ya wateja kuingia kwenye biashara za wengine maana wametandaza vitu chini. Hii itakuja kuleta changamoto sana baadae ikitokea mtu akaanza kuwatimua maeneo hayo. Same as kuruhusu boda boda kila mahali napo ni changamoto. Combination ya bodaboda na machinga isipokuwa controlled ni tatizo.

Ishu ya vibanda ndio balaa zaidi. Kama ni muhimu kulingana na ugumu na hali ya maisha bhas angalau kuwekwe mfumo rasmi wa hivi vibanda. Itolee taasisi kama VETA watengeneze vibanda uniform na rangi uniform vipangwe mjini huko angalau kuwe na mpangilio. Hao chinga wawe wanalipia kwa siku or mwezi..kuliko sasa kila mtu anajisimikia tu banda lake na rangi zake anazojua..kuezeka kwa karatasi au bati yani bora liende tu. Angalau wabuni kitu cha kuwa contain ila pia wawe na mazingira mazuri ya kuvutia. Barabara zinapendeza kweli na fly overs ila hayo mabanda yanapoteza mvuto wa miji yetu.
 
Hapo ndipo tunapokorofishana na Magu yn machinga wanamiliki mpk barabara, ukienda pale tandika unakuta ile road ndo wameichukua wao gari hakuna kupita, katikati ya barabara wao wanauza nguo, mpk kariakoo kote machinga wanafanya biashara barabarani, ss cjui Markets wanajenga za nn.
Kama pale tazara flyover na viaduct ya sgr pembeni,ukikaa kwa juu yaani seoul hii hapa ila ukiangalia kwa chini hivi kuanzia kwenye geti la bakhresa ni vibanda vya mbao tu yaani lazima unyong'onyee tu hata kama ulitaka kupiga photo kali
Jana niliingia Dodoma nikasema ngoja ninyooshe kidogo miguu kutembea mjini (kutoka hotel niliyofikia) yaani kuna machinga kinoma.
Maeneo ya makao makuu ya ccm kuna machinga wa kutosha hadi ile barabara iliyoko karibu na Nmb Dodoma branch wameiziba yote.
Nikatokea maeneo ya Square pale asee kuna machinga kinoma hadi wamepewa barabara yote two lanes na sehemu za watembea kwa miguu yote wanamiliki machinga 😂😂😂 mtaa mzima wanamikiki machinga.
Nikatokea tena kule karibu na soko asee machinga wametawala barabara hadi sehemu za watembea kwa miguu.

Nikapita tena usiku huwezi amini barabara zinavyo kuwa nzuri machinga wakiwa hawapo.
 
"It is home to africa biggest slum, kibera, which houses over 250k of the 2.5m slum dwellers in the city"

Are you good upstairs bro!!??
Best007 kingereza kilikuja na meli kweli, wahenga yani hawakukosea kabisa walai
Ok,kwa hiyo tunakubaliana nairobi ina watu 4 mill,kati ya hao 2.5 mill are slum dwellers..!so ni sahihi kwa ile ripoti kwamba over 50% of nairobians wanaishi kwa slum.
Hiyo maana yake over 60% ya wakazi wa nairobi wako kwa extreme poverty..
 
Hii ishu ya machinga kupanga vitu chini na kuzuia barabara ni shida kubwa sana. Hata baadhi ya maeneo wanazuia entrance ya wateja kuingia kwenye biashara za wengine maana wametandaza vitu chini. Hii itakuja kuleta changamoto sana baadae ikitokea mtu akaanza kuwatimua maeneo hayo. Same as kuruhusu boda boda kila mahali napo ni changamoto. Combination ya bodaboda na machinga isipokuwa controlled ni tatizo.

Ishu ya vibanda ndio balaa zaidi. Kama ni muhimu kulingana na ugumu na hali ya maisha bhas angalau kuwekwe mfumo rasmi wa hivi vibanda. Itolee taasisi kama VETA watengeneze vibanda uniform na rangi uniform vipangwe mjini huko angalau kuwe na mpangilio. Hao chinga wawe wanalipia kwa siku or mwezi..kuliko sasa kila mtu anajisimikia tu banda lake na rangi zake anazojua..kuezeka kwa karatasi au bati yani bora liende tu. Angalau wabuni kitu cha kuwa contain ila pia wawe na mazingira mazuri ya kuvutia. Barabara zinapendeza kweli na fly overs ila hayo mabanda yanapoteza mvuto wa miji yetu.
Serikali iwatafutie utaratibu wa kuwaondoa kabla hawajaota mapembe.

Nb: siungi mkono walichokuwa wanafanyiwa na askari wa jiji awamu iliyopita pia siungi mkono namna wanavyo jiachia awamu hii kwa kuziba barabara na njia za waenda kwa miguu.

Itabidi kila wilaya watengewe sehemu yao halafu waweke vibanda quality vyenye hadhi nzuri.
 
Jana niliingia Dodoma nikasema ngoja ninyooshe kidogo miguu kutembea mjini (kutoka hotel niliyofikia) yaani kuna machinga kinoma.
Maeneo ya makao makuu ya ccm kuna machinga wa kutosha hadi ile barabara iliyoko karibu na Nmb Dodoma branch wameiziba yote.
Nikatokea maeneo ya Square pale asee kuna machinga kinoma hadi wamepewa barabara yote two lanes na sehemu za watembea kwa miguu yote wanamiliki machinga 😂😂😂 mtaa mzima wanamikiki machinga.
Nikatokea tena kule karibu na soko asee machinga wametawala barabara hadi sehemu za watembea kwa miguu.

Nikapita tena usiku huwezi amini barabara zinavyo kuwa nzuri machinga wakiwa hawapo.
Tunatengeneza tatizo ambalo baadae litakuwa gumu kutatulika,halafu kwa nini huwa hatujifunzi,hadi dom duh!
 
Kama pale tazara flyover na viaduct ya sgr pembeni,ukikaa kwa juu yaani seoul hii hapa ila ukiangalia kwa chini hivi kuanzia kwenye geti la bakhresa ni vibanda vya mbao tu yaani lazima unyong'onyee tu hata kama ulitaka kupiga photo kali
Yataisha tu,mana mm nilichomuelewa Magu ni kwamba anaruhusu hawkers wafanye biashara wawezavyo zen mambo yakikaa sawa watu wakiwa vzr kiuchumi civilization ita take place automatically.
 
Hii ishu ya machinga kupanga vitu chini na kuzuia barabara ni shida kubwa sana. Hata baadhi ya maeneo wanazuia entrance ya wateja kuingia kwenye biashara za wengine maana wametandaza vitu chini. Hii itakuja kuleta changamoto sana baadae ikitokea mtu akaanza kuwatimua maeneo hayo. Same as kuruhusu boda boda kila mahali napo ni changamoto. Combination ya bodaboda na machinga isipokuwa controlled ni tatizo.

Ishu ya vibanda ndio balaa zaidi. Kama ni muhimu kulingana na ugumu na hali ya maisha bhas angalau kuwekwe mfumo rasmi wa hivi vibanda. Itolee taasisi kama VETA watengeneze vibanda uniform na rangi uniform vipangwe mjini huko angalau kuwe na mpangilio. Hao chinga wawe wanalipia kwa siku or mwezi..kuliko sasa kila mtu anajisimikia tu banda lake na rangi zake anazojua..kuezeka kwa karatasi au bati yani bora liende tu. Angalau wabuni kitu cha kuwa contain ila pia wawe na mazingira mazuri ya kuvutia. Barabara zinapendeza kweli na fly overs ila hayo mabanda yanapoteza mvuto wa miji yetu.
Dah jamaa una mawazo mazuri sana,shida hawa viongozi wetu sasa!
 
Ya Uganda iko sawa, it is from Kampala to Entebe airport, passing over a swampy area looking bushy, only that, hakuna msitu, stop hating, hizo ni tabia za kitanzania, wivu na kinyongo all the way kuna developments..,
Ni facts. Hakuna mambo ya hating hapa. Kama una facts zako kuonyesha kwamba most of their expressway inapitia developed areas weka hapa.
Hivi ndio napenda na hii ndiyo inaitwa Fair battle, muwe mnapingana km sisi, co kila kitu unaunga mkono tu
 
Hii ishu ya machinga kupanga vitu chini na kuzuia barabara ni shida kubwa sana. Hata baadhi ya maeneo wanazuia entrance ya wateja kuingia kwenye biashara za wengine maana wametandaza vitu chini. Hii itakuja kuleta changamoto sana baadae ikitokea mtu akaanza kuwatimua maeneo hayo. Same as kuruhusu boda boda kila mahali napo ni changamoto. Combination ya bodaboda na machinga isipokuwa controlled ni tatizo.

Ishu ya vibanda ndio balaa zaidi. Kama ni muhimu kulingana na ugumu na hali ya maisha bhas angalau kuwekwe mfumo rasmi wa hivi vibanda. Itolee taasisi kama VETA watengeneze vibanda uniform na rangi uniform vipangwe mjini huko angalau kuwe na mpangilio. Hao chinga wawe wanalipia kwa siku or mwezi..kuliko sasa kila mtu anajisimikia tu banda lake na rangi zake anazojua..kuezeka kwa karatasi au bati yani bora liende tu. Angalau wabuni kitu cha kuwa contain ila pia wawe na mazingira mazuri ya kuvutia. Barabara zinapendeza kweli na fly overs ila hayo mabanda yanapoteza mvuto wa miji yetu.
yananikera kweli kweli,,,najua watu wanatafuta lakini wamejiachia kupitiliza
 
Jana niliingia Dodoma nikasema ngoja ninyooshe kidogo miguu kutembea mjini (kutoka hotel niliyofikia) yaani kuna machinga kinoma.
Maeneo ya makao makuu ya ccm kuna machinga wa kutosha hadi ile barabara iliyoko karibu na Nmb Dodoma branch wameiziba yote.
Nikatokea maeneo ya Square pale asee kuna machinga kinoma hadi wamepewa barabara yote two lanes na sehemu za watembea kwa miguu yote wanamiliki machinga mtaa mzima wanamikiki machinga.
Nikatokea tena kule karibu na soko asee machinga wametawala barabara hadi sehemu za watembea kwa miguu.

Nikapita tena usiku huwezi amini barabara zinavyo kuwa nzuri machinga wakiwa hawapo.
Hii ndiyo changamoto pekee ukiacha ya ujenzi wa kiholela wa kujijengea hovyo hovyo ambapo naona imekosa dawa.
 
Hivi ndio napenda na hii ndiyo inaitwa Fair battle, muwe mnapingana km sisi, co kila kitu unaunga mkono tu
Kitu nimenotice kwa wakenya wa humu...wanaogopana sana kupingana wako radhi wamuunge mkono mwenzao anayepotosha kuliko kumkosoa.
Naweza sema wakenya hawana uhuru wa kukosoana wenyewe kwa wenyewe humu jamiiforums 😂😂😂
 
Machinga huwa ni watu gani na wanauza nini? Maana huku Kenya hatutumii hilo neno.
Wafanya biashara ndogondogo,mitaji yao huwa chini ya 2 mill tsh..
Wenyewe huuza chochote tu radio,phone accessories,nguo,mikate,viatu,daftari,vitabu,movie collection etc
Nyie mnawaitaje?.
 
Ni facts. Hakuna mambo ya hating hapa. Kama una facts zako kuonyesha kwamba most of their expressway inapitia developed areas weka hapa.
Been there like two years ago, along the expressway ni residentials na businesses, villagish look though at some places but not that forest the way unaweka, yako is a mere hating, the road is dope, plus the surroundings.,
 
Back
Top Bottom