Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_5299.jpg
 
Una maanisha kambi popote!
Nouma!

Huwa nawaona mnavyo jadili kuhusu maisha. Maisha ya Wakenya na Wasouth Afrika yanashabiriana.

Both of these societies zinamaisha magumu sana, mno. Sema, ukiona cosmetics za miji yao na bararbara kwa picha unaweza ona ni maisga flani.
 
kuna shida kuiba? naona hapo kuna kamlima.. nakumbuka tuliwah kuwa na maneno hayo kwenye jezi za timu ya sunderland sijui ile kule uingereza
As Kenya’s Tourism Crumbles, Here are PHOTOS of Sunderland Players Wearing ‘Visit Tanzania’ Kits.

sunderland2.jpg
 
Unajua shida kubwa hua wanakurupuka yani wao wanahisi tanzania ndio mhasimu wao wakat sisi hata hatuangaiki nao, hawapendi kuona tanzania ikipiga hatua huwa wanachukia sana 😀😀😀
Tanzania kuna plan na security nzuri ndo maana mabilionea wengi from worldwide Wanaichagua kama travel destination Yao best🙂nimekutana na watu wakubwa Sana katika mishe zangu za kila siku our motherland Tanzania infact ndio country in Africa ambayo ni mysterious kwa nature ukitoa pyramids za Egypt na Sudan na country ya Mali Timbuktu,no any other place in Africa ambayo kuna mystery nyingi Sana Kando na wildlife, Our beautiful country iko na history nyingi Sana kuna sehemu nyingi ziko an touched majirani sio tu Kenya but many eastafrican countries wanaionea wivu Tanzania mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🙂
 
Jiji lina watu 5m out of that 2.5m ni slum dwellers, zen wanabaki 2.5m ambapo hapo kuna foreigners kama 2m kwahiyo hapo Wakenya wanaoishi Nairobi ambao co slum dwellers ni km 0.5m alafu mnakuja kujisifu eti majority of nairobians wanaishi kwenye apartments hahahahaaa, mnasahau kwamba wanaoishi kwenye apartments wengi wao co Wakenya
Evidence ya kuwa Nairobi ina 2 million visitors umeitoa wapi? Au unaharisha tu data za uongo ili kufurahisha nafsi yako?

Cc komora096
 
Tanzania kuna plan na security nzuri ndo maana mabilionea wengi from worldwide Wanaichagua kama travel destination Yao best🙂nimekutana na watu wakubwa Sana katika mishe zangu za kila siku our motherland Tanzania infact ndio country in Africa ambayo ni mysterious kwa nature ukitoa pyramids za Egypt na Sudan na country ya Mali Timbuktu,no any other place in Africa ambayo kuna mystery nyingi Sana Kando na wildlife, Our beautiful country iko na history nyingi Sana kuna sehemu nyingi ziko an touched majirani sio tu Kenya but many eastafrican countries wanaionea wivu Tanzania mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🙂
Hizi wimbo za CCM mlizofunzwa tangu shule za Chekechea huwa zinanifurahisha sana.
 
As Kenya’s Tourism Crumbles, Here are PHOTOS of Sunderland Players Wearing ‘Visit Tanzania’ Kits.

View attachment 1695161
Yah nmekumbuka aisee kumbe sisi ndiyo tulianza.
 
Back
Top Bottom