Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hutaki au, pinga kwa hoja basi tuanze, unamuita tony kwani haoni unadhani? Mwite aje ale bakora zake
Ndio manake policcm wanawaita wachumba sio kw ulemavu wa akili kw kiasi hicho jamani

Emu rudia tena, wageni nairobi ki wivu wivu ni wangapi vile
Utakufa kw presha miss BUZA
 
Jana pale Terminal 3.
IMG_20210205_120845_012.JPG
 
Tunataka mtuthibitishie kwamba 2.5m waliobaki ambao co slum dwellers ni Wakenya.
Kabla uthibitishiwe na wewe tunataka ututhibitishie 2.25m slum dwellers wengine wanaishi wapi, manake tayari kibera ni 250k

Jamaa nishamtoa tara haki ya nani
 
Ndio uwalete hao 2.25m wanaishi wapi
Yani kw hilo swali nishakukimbiza, ukirudi basi labda uje kunengua
Slum dwellers in Nairobi ni 2.5m but jiji lina wakazi 5m so 2.5m ndiyo wanaishi kwenye apartments, kati ya hao kuna foreigners km 2m so the remaining ambao ndiyo natives wanaoishi kwenye apartments ni 0.5m.

Unauliza 2.25m wanaishi wapi kwn hujui kwamba Nairobi ni slums hub?
JamiiForums1949804486.jpg
 
Slum dwellers in Nairobi ni 2.5m but jiji lina wakazi 5m so 2.5m ndiyo wanaishi kwenye apartments, kati ya hao kuna foreigners km 2m so the remaining ambao ndiyo natives wanaoishi kwenye apartments ni 0.5m.

Unauliza 2.25m wanaishi wapi kwn hujui kwamba Nairobi ni slums hub?View attachment 1695073
Lete list ya slums na idadi ya watu tufikishe hyo 2.25m
Nengua mzee baba
 
Slum dwellers in Nairobi ni 2.5m but jiji lina wakazi 5m so 2.5m ndiyo wanaishi kwenye apartments, kati ya hao kuna foreigners km 2m so the remaining ambao ndiyo natives wanaoishi kwenye apartments ni 0.5m.

Unauliza 2.25m wanaishi wapi kwn hujui kwamba Nairobi ni slums hub?View attachment 1695073
Mbona umewasahau wale wanaolala kwenye zile fly over zao ?
 
Population iko wapi, au ile link yako hawakukupa list ya hzo slums na population kabisa
Uliisahau labda nenda ka google vizuri huenda utapata hyo idadi ya hao 2.25 tuje tuchanganye na 250k ya kibera ndio iwe 2.5m
Haya ma slums yote haya na bado unaulizia popn, tena hapa co 2.5m ni zaidi ya hyo mana nyumba moja watu 10
JamiiForums1949804486.jpg
 
Back
Top Bottom