Moja wapo ya Siri zetu ni;,hatuna Tamaa,tunajitosheleza,wastaarabu afrika nzima,tunapendana,tunasaidiana,tunahurumiana,tunamuogopa mungu,wachapa kazi,wanyenyekevu.
Alafu issue ya uoga hatuna sema hatupendi ugomvi na mtu🙂maana tanzania ina mojawapo ya makabila jeuri afrika lakin huwez ukaskia hata siku moja eti wamewanchinjana
Tanzania ukileta ujuaji wako serikali itakushughulikia na pia kingine tanzania community policing iko vizuri mgeni huwez uka tupangia maisha yetu respect kwa kila mtu peace🙂