mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,054
- 4,101
mombasa iko hadi na cruise ship terminalAcha kufananisha mwanza na takataka, Mombasa haina airport wala bullet trains, haina cruise ships, haina suburbs, Mombasa ni utopolo kiongozi
mombasa iko hadi na cruise ship terminalAcha kufananisha mwanza na takataka, Mombasa haina airport wala bullet trains, haina cruise ships, haina suburbs, Mombasa ni utopolo kiongozi
They keep mentioning Dar's size and they forget that more than a half of that area is not built up. Ni ushagoo Kabisa and we've already seen that in the Image they shared here yesterday. Nilicheka sana when one of them confirmed that that place is just 35 kms from the cbd 😂We are talking of the built-up area (metro) and you are talking of boundaries. Are you mad? So should we say Naivasha, with an area of 1, 685.4sq. km is bigger than Dar with an area of 1,590 sq. km?
Vibaka tu hao
Bongolala, kubali kwamba ukubwa wa Dar ni jina tu. Most of it is not built up like Nairobi is. Look at Athi River below which is 29 kms from the CBD then linganisha na ile kijiji yenu ambayo iko 35kms from Dar cbd.Hahahaha ila wakenya ni vichaa, ulitaka uone slums everywhere kama Nairobi nini?
Tushaambiwa ni 35 kms from the cbd. Jina sio muhimuHujui lolote kumvava, unajua hapo ni wapi
BwahahaaaMajengo dizain ile huwa yanadondoka sn, jengo linaonekana dhaifu kabisa
Huo mtaa hta haushtuiHalafu sinza inakufaa sana wewe, demu wa kijanja ukutane na masela wakijanja wakugonge mpaka usahau kurudi mombasa
Nani asiyelijua hilo jomba na wakati sinza ni kati ya mitaa ya watu wakipato cha kati kw hko .Aliekuambia hivyo kakudanganya, sinza ni kwa wajanja. so utakuta tabaka nyingi tu
Hata hiyo southern bypass haifanani na ile kijinji yenu. The whole stretch is built up as you can see belowSasa me nimechagua ya 32km sitafika? 😅😅😅
Village ipi? You mean Kibera? It is a slum, it's not a village na hiyo ardhi yote ni mali ya serikaliNairobi 5 kms from the cbd unakutana na village,nairobi bado ni ndogo sana kwa dar...msijipe moyo
Nyumba gani hizo sisizoonekana kwa macho? Huenda kuna nyumba mbili au tatu kwenye hiyo picha but thay doesn't change the fact that it has a village feelingKibamba kuna nyumba nyingi sana sasa sijui kelele mnazopiga zimetoka wap
Tukijenga nje ya nairobi mnasema eti tunafanya miradi ambayo haina tija sasa mnatakaje wajubaWakenya walipaswa waandamane serikali yao iangalie maeneo mengine ya Nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Can you give us evidence that Tanzania is the most urbanized country in East Africa. Ama porojo za sisiemu ndio umeleta hapa?Nilisema mm huyu ni Mkunya poa ila ana Upuuzi flani hv, eti anajifanya hajui kwnn Tz ni the most urbanized country in East and central Africa
Alaf hawa hawa utawaskia uganda ni rafiki zetu🤣🤣👇👇
Feelings achia dada zako weweNyumba gani hizo sisizoonekana kwa macho? Huenda kuna nyumba mbili au tatu kwenye hiyo picha but thay doesn't change the fact that it has a village feeling
so hiyo real estate value tuliyowagonga $3.5bln nill,ni miti na vichaka wanahesabu pia!!!.Bongolala, kubali kwamba ukubwa wa Dar ni jina tu. Most of it is not built up like Nairobi is. Look at Athi River below which is 29 kms from the CBD then linganisha na ile kijiji yenu ambayo iko 35kms from Dar cbd. View attachment 1679898View attachment 1679916View attachment 1679917
Sinza kuna ushua gani. .?Sinza sifa kuu wanaishi wajanja wa mjini na kuna pub nyingi na maduka mengi ya nguo ,saloon aina zote sinza wanaishi watu wa kipato cha kati tu matajiri haswaa wachache uzuri wa sinza mitaa yake imepangika yani kunaelewekaKw dar sinza ni mtaa wa kishua
Yani huaga nacheka sana nikiona mtu dar anajisifia yeye anaishi sinza na kuvimba kitaani
kwani shida yako ni bundle huna au uvivu kitafutaCan you give us evidence that Tanzania is the most urbanized country in East Africa. Ama porojo za sisiemu ndio umeleta hapa?