Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ati 30 km from the ocean majumba yameisha tunaanza kuona misitu. Mumefinyana nyote karibu na ocean.
Ikiwa nyinyi 30km mushaingia county nyingine munashindana na dar kweli??🤣🤣
F62A62DB-C83B-4056-B190-C2496FC8817F.jpeg
 
That doesn't charge the fact that hiyo eneo ni kijijini. Alafu cha kushangaza ni kwamba it's only 35 kms from the CBD!! 35 kms from Nairobi cbd huweziona sehemu imejiachilia hivyo utadhani uko kijijini Kabisa tena ndani
Nairobi 5 kms from the cbd unakutana na village,nairobi bado ni ndogo sana kwa dar...msijipe moyo
 
Hiyo ni ukitumia southern bypass bongolala. Comment yangu nimesema A1 which is Waiyaki Way and it is 52kms. Those are two different routes. Hata hiyo southern bypass unayotaja hapa imejengeka mwanzo mwisho and it's 42 kms as you've shown above. Nikisema Dar is a glorified fishing village si sasa mnaona!?
Sasa me nimechagua ya 32km sitafika? 😅😅😅
 
We unajua hapo ni wapi nimecheka sana wallahi, hiyo ndiyo homa ya jiji kimara-kibaha highway, ni moto hyo road, nasema hivi hakuna road inafanyiwa decorations km hiyo kwa hapa EA hakiya ya nani nakwambia, hiyo barabara inatengenezwa jamani.

Juzi nilipita hapo narudia tena wakuu naomba muisave hii comment HAKUNA ROAD INALEMBWA KAMA HIYO HAPA EA, km ipo basi sijawahi kuiona. Perhaps ile ya Uganda but nayo haiingii hiyo ya kimara-kibaha highway, muda utaongea.
Yeah, naona hata hapo mwanzo wa picha kuna jambo lipo hapo
 
Kumbe Dar ni kubwa kieneo tu 😂 Much of it hakuna cha kushangilia and a good example is this picture. Tukiondoa hiyo barabara, hiyo sehemu imepigwa picha hata kijijini kwetu ni afadhali
Hujui lolote kumvava, unajua hapo ni wapi
 
Lakini hamuwezi kulinganisha Mwanza na Mombasa. Hilo ndilo ukweli. Nyie hamna basis yoyote ya kulinganisha Mwanza na Mombasa. Kwenye Infrastructure pekee Mombasa inaipiga Mwanza vibaya sana. Angalau Nairobi na Dar tunaweza kuzilinganisha maana zinakaribiana kwa mambo mengi lakini Mwanza na Mombasa, hapana, hio haiwezekani.
Acha kufananisha mwanza na takataka, Mombasa haina airport wala bullet trains, haina cruise ships, haina suburbs, Mombasa ni utopolo kiongozi
 
Back
Top Bottom