Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lakini hamuwezi kulinganisha Mwanza na Mombasa. Hilo ndilo ukweli. Nyie hamna basis yoyote ya kulinganisha Mwanza na Mombasa. Kwenye Infrastructure pekee Mombasa inaipiga Mwanza vibaya sana. Angalau Nairobi na Dar tunaweza kuzilinganisha maana zinakaribiana kwa mambo mengi lakini Mwanza na Mombasa, hapana, hio haiwezekani.
Mombasa ilishapigwa mambo na Zanzibar kitambo
 
Na haina hata bus stage moja ya kusingiziwa 🤣🤣🤣🤣 kule kila mtu sheria anayo mkononi
Yani ni shida 🙄Miji Mingi home ziko well organized mfano bunda /jombe, geita au sengerema ni miji midogo lakini well planned,high level security,good transportation etc
 
Tuonyeshe sehemu zilizo 25-40km from the CBD in Dar zinakaa aje nasi tukuonyeshe za Nairobi.
😀 hili jinga la chaka lipi jamani, nairobi ina 696 square km halafu anataka kutudanganya 40km from nairobi cbd.
Au unamaanisha cbd iko pembezoni mwa nairobi
 
Hii KImara Kibaha road yenu ndio kama Thika road yetu kwa upana lakini tatizo ni kwamba Kimara Kibaha road ni 19 km ilhali Thika road ni 40 km. Kwa hivyo bado tumewapiga.
Tony hiyo ni phase 1, phase II inaenda hadi chalinze more than 100km na nina uhakika tulipoweka plan humu na wewe ulikwepo, sasa hapa naamini wewe ni kichwa cha panzi maana haijapita hata miezi 3
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 labda useme top 6 ndio utaeleweka vzr manake kuna entebe international airport usisahau
Julius Nyerere airport ndio airport pekee TZ iliyoshinda Moi airport kwa passengers numbers. Sasa ukitaka kulilia chooni basi nimekupatia fursa.
 
Back
Top Bottom