komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Anaogopewa kw sababu ana uwezo wakuunda vifaa vinavyoendana na technology ya sasa tena vya hatari..Ww maana ya jeshi huijui wewe [emoji1787][emoji1787] na ungekua unajua kwann north korea anaogopeka ndio ungejua maana ya jeshi kwann leo iran amekua tishio ndio ungejua maana ya jeshi kwa sasa ww niwakusamehewa tu
Kwhyo hawajui km atakua anaunda nn, tanzania mpka mpeleka oder viwandani hapo kuna siri gani na wakati global fire power wana zuru kote kote hko