Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,708
- 107,150
so ulikuwa unabisha nini vitu tunafanya tangu 2015!Thank you for this information.
so ulikuwa unabisha nini vitu tunafanya tangu 2015!Thank you for this information.
Ile ya kigamboni ni ushuzi wako ile [emoji3][emoji3][emoji3]Kipi cha ajabu hapo au ni kwa sababu nyie hamna toll road yoyote?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Majengo ya wizara hata mogadishu yapo[emoji23][emoji23]Dom imeanza kutia watu presha [emoji3][emoji3][emoji3]
Wajinga hao[emoji23][emoji23]Hakuna kitu wanajenga hapo[emoji23][emoji1787][emoji23]
bado nawasubiri[emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji85][emoji85][emoji85]hapa bado jwtz wanamiliki migodi 3 ya dhahabu!!
je kwa hizi project tunashindwa nini kuwalipa kdf na gsu + makazi juu mnapata
nyie [emoji205][emoji205][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji85] jeshi lenu lina nini?
View attachment 1665581
Tony254
Teargass
MK254
komora096
msijifanye hamuoni
Kweli kabisa, watu huaga hawalalamiki mpka pale waone jamaa waneanza ku hike fares..Fares za Kenya are always higher than those of Tanzania and nobody has ever complained[emoji23][emoji1787][emoji23]. People only complain when motorists start exploiting people by tripling the fares of a certain place.
They always live in denial [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji652] [emoji652] [emoji652]
Yah, hiyo ni moja ya kiashiria tough training ndiyo maana jeshi letu ni the strongest.Ati hawa ndio wanalinganisha na KDF[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]
View attachment 1665541
mnaibiwa nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] m siezi panda gari limetenezwa na mapipaKweli kabisa, watu huaga hawalalamiki mpka pale waone jamaa waneanza ku hike fares..
Aulize mombasa nairobi msimu wa dec mwisho mwisho ilikua ngapi, maze ingelikua kule kwao wala wasingelisafiri haswa milele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena hii nmekupa na like kabisa kwa kukubali kwamba TPDF co mchezo, wkt tunamaliza form six nilikuwa nasikia ukienda jeshini km hajafa mtu basi hapo hakuna kitu, ila kwa bahati nzuri nilipangiwa Ruvu kule sio pagumu sn tukamaliza salama kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ati hawa ndio wanalinganisha na KDF[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]
View attachment 1665541
Kwa jinsi wanavyovunja matofali of course ni the strongest 😂Yah, hiyo ni moja ya kiashiria tough training ndiyo maana jeshi letu ni the strongest.
kunakitu nlitaka niseme ila poaTena hii nmekupa na like kabisa kwa kukubali kwamba TPDF co mchezo, wkt tunamaliza form six nilikuwa nasikia ukienda jeshini km hajafa mtu basi hapo hakuna kitu, ila kwa bahati nzuri nilipangiwa Ruvu kule sio pagumu sn tukamaliza salama kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
We jamaa hujui mambo mengi sana, c Kenya wala Tz.Nyie hamno toll road. Peleka upumbavu huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nna uwakika ukipiga baruti Lee kambi ya kdf habaki mtu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa jinsi wanavyovunja matofali of course ni the strongest [emoji23]
Kwa jinsi wanavyovunja matofali of course ni the strongest 😂
Yah tukifikisha 2% ya akili yetu hakuna nchi itakaribia Tz ktk dunia hii, mana kama tumetumia only 1% of our brain kufanya mambo makubwa hv ambayo huwezi kuta nchi nyingine EAC[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]You have to understand that they only use 1% of their brain[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]