Nini maana ya ushawishi wa JPM na Tanzania?
Fikiria ni juzi tu Rais Xi kampigia JPM simu, JPM alikua hana hili wala lile kuhusu China hasa ukizingatia alivyoterminate Bagamoyo port, SGR project, mchuchuma projects na nyingine harshly
Lakini still Rais Xi alimpigia simu JPM na JPM akaingiza vocals zake kuhusu projects zake anazotaka tushirikiane na China lakini sio kwa masharti kama ya Bagamoyo, SGR, etc
Mara paap Rais Xi kamuelewa JPM and within no time Rais Xi faster anamtuma highest envoy kutekeleza mazungumzo yao
JPM hajapiga simu yeye, hajawahi hata kukanyaga China lakini kuna kanchi fulani kalipeleka serikali nzima na bunge lote China kumuomboleza wamaliziwe mkopo wa SGR na wakafukuzwa kama mbwa bila thumni 😂😂😂😂
Ila JPM katulia zake tu Chamwino lakini China inamfuata yenyewe, huu ndio ushawishi wa JPM na Tanzania