Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hujielewi kama jeshi la Tanzania lingekuwa la ovyo na Nchi ya Tanzania ilivyo na Mali nyingi kila sehemu tungekuwa tunavamiwa sana kumbuka tumezungukwa na nchi zenye uhaba wa ardhi ukianza na Kenya lakini hakuna yoyote anayejaribu kuchukua hata eneo dogo kwa sababu jeshi letu ni imara tunaweza kuingia Kenya na kunywa chai asubuhi asubuhi kwenye ikulu yenu na tukawawekea rais kwa sababu afrika mashariki na kati hakuna wa levo yetu kwenye vita.
Huyo jamaa hajui maana ya jeshi mumsamehe tu 😅😅😅😅 nimecheka sana
 
Watanzania are the dumbest people in the world😂😂🤣😂. Yani somebody is not even reading entire article to get what's being talked about. Charges za expressway will be according to vehicle weight and majority of Kenyans will pay 300 since they mostly use saloon cars. Heavy vehicles like trailers ndio zitalipa hiyo 1700. Trailers doesn't even make 1% of all vehicles that will use that road.





Nairobi Expressway: Motorists to Pay as Much as Ksh1,700 Per Trip​


An aerial view of the on-going Nairobi Expressway project along Mombasa Road

  • An aerial view of the on-going Nairobi Expressway project along Mombasa Road
    FILE
  • Nairobi motorists will have to part with a hefty charge to use the Nairobi Expressway that was gazetted as a toll road by Transport CS James Macharia.
    A report by The Standard on Saturday, January 2, indicated that the toll per vehicle would be charged depending on the weight.
    It was revealed that Saloon cars (which have two axles, will be expected to foot up to Ksh310 per trip while light vehicles with two axles and raised bonnet will pay Ksh465.
    Heavy vehicles with less than four axles will pay Ksh1,240 while those that have more than four axles will be expected to pay Ksh1,798 inclusive of VAT.
    a

    An engineers projection of the Nairobi Expressway
    FILE
    Motorcycles and Tuktuks will not be allowed to use the 27Km-stretch that is expected to begin operations in June 2022.
    The report further indicated that the road, which is being constructed and funded by China Road and Bridge Corporation, is expected to raise Ksh2 billion by 2023.
    The road will also have toll stations at different entry and exit points with the rate card expected to rely majorly on the distance traveled by vehicles.
    The toll stations will be located between Mlolongo and James Gichuru Road junction.
    The Chinese company is expected to manage the road for 27 years under which it stands to make an estimated Ksh106 billion profit.
    In the gazette notice, CS Macharia declared three types of vehicles to be exempted from paying the prescribed tolls.
    The vehicle classes include ambulances, police vehicles, and military vehicles.
    Transport Cabinet Secretary James Macharia speaking in Parliament

    Transport Cabinet Secretary James Macharia speaking in Parliament
    FILE
Hii expressway hawaipendi kabisa. Yani ingekuwa ni uwezo wao wangetoka tandale wakuje waibomoe. Do you remember when one of them said a few weeks ago eti itabomoka because pillars zake are so "tall and weak"? 😂 😂 😂
Now they are making up stories
 
Hardware will only be secret if you manufacturer it yourself unlike your country which import everything[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787].
Ww maana ya jeshi huijui wewe 🤣🤣 na ungekua unajua kwann north korea anaogopeka ndio ungejua maana ya jeshi kwann leo iran amekua tishio ndio ungejua maana ya jeshi kwa sasa ww niwakusamehewa tu
 
Hii expressway hawaipendi kabisa. Yani ingekuwa ni uwezo wao wangetoka tandale wakuje waibomoe. Do you remember when one of them said a few weeks ago eti itabomoka because pillars zake are so "tall and weak"? 😂 😂 😂
Now they are making up stories
Hatuzipendi au tunawacheka vile mchina anavowakuna vipele hvo 🤣🤣🤣🤣🤣 1798ksh kwa miaka 27 hahahhahahah tusubiri tuone dunia ikiingia mwisho
 
Sasa ushachange gear juu ni mekuambia Tanzanian army can't keep secrets in her hardware since you import everything[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
Ww maana ya jeshi huijui wewe [emoji1787][emoji1787] na ungekua unajua kwann north korea anaogopeka ndio ungejua maana ya jeshi kwann leo iran amekua tishio ndio ungejua maana ya jeshi kwa sasa ww niwakusamehewa tu
 
Juice za Kenya imejaza maduka za Tanzania. [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23]
look how we play role in your economy[emoji23][emoji23][emoji23],tuko alpha na omega hapo.

halafu mnajaribu kitikisa kiberiti na corona ya wenyewe[emoji1][emoji1][emoji1].
 
Sasa ushachange gear juu ni mekuambia Tanzanian army can't keep secrets in her hardware since you import everything[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
Hakuna siri za jeshi lolote duniani unaweza ukajua anything infact kwanzia vifaa, man power na kila kitu huwez kujua mark my words 🤣🤣🤣🤣🤣 leo umenifurahisha sana hio blog yenyewe hata twitter haipo alaf unatuletea ushuzi hapa
AB0F7CDE-1385-490F-B494-486ACE2C30F8.png
 
Sasa ushachange gear juu ni mekuambia Tanzanian army can't keep secrets in her hardware since you import everything[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
heee.

wewe unajua hapo port kuna watu gani,mpaka uhisi utajua kinachoingia tz!!!!
 
Maskini wamepata loss ya 3.2b poleni investor hamkuchagua nchi sahihi🤣🤣

 
Do you think importation only involves Tanzanian port?[emoji23][emoji1787][emoji23]. Kuna manufacturer, kuna transporters, kuna port ya exporting country. So mkidhani mtaficha siri, I'm sorry to let you know that the other players will reveal it[emoji1787][emoji23][emoji1787]
heee.

wewe unajua hapo port kuna watu gani,mpaka uhisi utajua kinachoingia tz!!!!
 
Hata kuandika hujui[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23]. "Gloal" ndio nini?[emoji1787][emoji23][emoji23]
Hakuna siri za jeshi lolote duniani unaweza ukajua anything infact kwanzia vifaa, man power na kila kitu huwez kujua mark my words [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] leo umenifurahisha sana hio blog yenyewe hata twitter haipo alaf unatuletea ushuzi hapa
View attachment 1665455
 
Back
Top Bottom