Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa ziko 36, hizo nne zinatoka wapi?
Hapa nanai alihesab kilaza ww...alafu iyo doom sio TPA ?
JamiiForums153481381.jpg
 
Hakuna udongo mwekundu Dar unless hujaingia class, Dar is a coastal city huwezi kuta dongo jekundu
Coastal city na kuna mito mbona udongo mwekundu ukosekane
Mombasa tu hakuna mito na mamba km dar lkn kuna udongo mwekundu sehemu flani
 
Bro hapo wapi? Mbona kama vile uvira labda na huko upajui Mimi nakuelezea kulingana na experience yangu binafsi sijui umenielewa? Nimekaa Nairobi zimerman,umoja 2,ina core na nimefika mitaa mbali mbali Yani kwa ufupi slum zenu nazijua vizurimfano slum ya Kwanza na ya pili mathare upande wa desert,ya tatu kibra au kibera alafu ya nne korogocho upande wa mukuru au dandora dumpsite Sawa?

Jamaa kaamua kutuwekea picha za uvira kwa kina Christian bella
Hakuna mtu amabae anamiliki uswazi nairobi
 
Acha ujinga,hizo buttons zenye haizikuwa numbered za basement. Na basements are not counted as floors
Ww ni mjinga wa mwaka 2020 katika wajinga wote ww yako no 1....unabishan mpka n ww mwenyew
 
Umeona maana ya poor planning mkuu? Serikali ilikua wapi mpaka watu wanafikia kujenga sehemu husika wakati walijua Barbara itapita hapo
Kawaulize ccm kwnn walivunjia watu mijengo km wao ndio vinara wa ku plan ukanda
 
Back
Top Bottom