Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

37. 36 floors + ground level. Remember ground level is not a floor.
Jonga la mwaka embu angalia mahali uliweka 37 alfu sema tena icho umeandika hapo
Screenshot_20201220-182057.jpg
 
mim nadhan.. suala la floors muachane nayo.. akileta hizo mada muumpuuzie..
ni jamaa huyuhuyu alisema Tanzania kuna maengineers 200.. na wao wapo 2000.. nikamletea proof kuwa tupo 20,000.. then na yeye akajitetea eti wapo 19,000 yan anapingana na alichokuwa anakitetea eti wapo 2000
Yn nimjinga mpka anabishana n data zake mwenyew
 
Back
Top Bottom