Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jonga la mwaka embu angalia mahali uliweka 37 alfu sema tena icho umeandika hapoView attachment 1655310
Hapo kwa anayejua Geography wala hapati tabu kuelewa kwamba Dar ni submerged coast, so obvious lazima iwe chini zen maji yawe juu, hapo kwenye hyo picha kwa msomi aliyesoma Geography olevel lazima ajue kwamba hapo kuna baadhi ya floors km mbili before ground floor hazionekani kwasabu ya kuzibwa na maji.

Kama unabisha angalia level ya maji na hyo boat viko juu mpk floor imezibwa apo.
 
Zilizopo kwenye hii picha ni tower tatu pekee na tuko 2020.....sasa hizo zingine ziko wapi kama ulivyo list hapo juuView attachment 1655103

Sent from my Infinix NOTE 2 using JamiiForums mobile app
Hii hutaki 🤣🤣🤣👇👇👇
1AAB878E-9AC4-4F8F-9AB1-DC3D21920331.jpeg
D141201F-106A-44A6-9B16-5C03F3E80828.jpeg
 
Back
Top Bottom