toptorn
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,224
- 3,057
Kumbe unavaa chupi?Mombasa ikitajwa mavi yanagonga chupi.
View attachment 1654938
Kumbe unavaa chupi?Mombasa ikitajwa mavi yanagonga chupi.
View attachment 1654938
Daaah mpaka kinyaa hawa watu sijui wakoje 🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe unavaa chupi?
Yenyewe majengo yenu yana ubora wa hali ya juuSijui umenielewa mkuuau nikueleweshe nahisi ujapata point yangu, Nairobi na vinyumba vyenu vidogo dogo ukiweka kitanda haufungi mlango mnajenga ovyo
yaan Tanzania sio level yenu hamna standard housing kama Sisi Tanzanian huwez ukajenga bila kizingatia ubora
Tatizo wewe unabishana na constructor: TPA : ::: Estim Construction :::Kwanza akina ichoboy01 walikuwa wanadanganya kuwa ni 40 floors. Kuna siku nilihesabu nikapata 36 floors wakanitusi hapa vibaya sana
![]()
Narudia tena, nyinyi mumejazana dar
Definition
An urban area is the region surrounding a city. Most inhabitants of urban areas have nonagricultural jobs. Urban areas are very developed, meaning there is a density of human structures such as houses, commercial buildings, roads, bridges, and railways. "Urban area" can refer to towns, cities, and suburbs.



Af we inaonekana ni wa kibera au gorokocho, pia mwambie mwenye nyumba awapigie rangi imechoka snZamu kwako bintiView attachment 1655093



Kwhyo unapinga km haina ngao siologo yenu ya Kenya ina samaki? leta evidence!


Wapuuzi hao, mazi yao ni kutaka kupindisha pindisha vitu tu ilhali wao waneweka samaki wa kisukuma..Naona yao ni samaki ilhali yetu Ni shield
Tupatane baadae ndo nn, af unasema unajua lugha ya kiswahiliTupatane baadae, yule meffi ametoroka.






Hizo floors za juu hazina lift: TPA : ::: Estim Construction :::
Wapi hapa we jamaa.Yenyewe majengo yenu yana ubora wa hali ya juuView attachment 1655109
Sent from my Infinix NOTE 2 using JamiiForums mobile app
Kawaulize fisi m hiyo ni slum ganiWapi hapa we jamaa.
Wewe si ndo umepost? Au unapost kimihemko tu ilihali picha yenyewe huijui imetoka wapi.
Nimetoa kwa website ya fisi m Dar slumWewe si ndo umepost? Au unapost kimihemko tu ilihali picha yenyewe huijui imetoka wapi.
Kwa mfano mm nakuambia hapa ni Nairobi Kenya, haya na ww niambie hapo ni wapi





