Nimetoka Turkana juzi tu hapaEbu enda huko uwapige picha[emoji23][emoji23][emoji23]. Tunataka kuona hao wenye njaa.
Nmecheka sn mkuu, yn wakenya wengi ni vtuko kwakweliSimu ya kishamba.
Inaonesha namna ulivyo na maisha ya shida.
Huoni hiyo simu ni 2G wakati technology sasa watu wapo na 5G
Nani amekudanganya nina simu moja kama wewe masikini wa mbongolalaSimu ya kishamba.
Inaonesha namna ulivyo na maisha ya shida.
Huoni hiyo simu ni 2G wakati technology sasa watu wapo na 5G
Usinichefue.Nani amekudanganya nina simu moja kama wewe masikini wa mbongolala
Sent from my Infinix NOTE 2 using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23]Usinichefue.
Mwanza city, subutu nenda kwadanye wazee hko vijiweniMwanza ina zaidi ya 2 million people
Dar ni 1600 km square ina watu 7 million
Nairobi ni 690 km square ina watu 5 million
Nani wamejazana wapi? [emoji848]
Ninyi zenu mnahesabu mpaka mnara sasa hapo slab inayobeba mnara hujaweka.na mnara wenyewe hamuhesabii.Floors gani za juu?[emoji23][emoji23][emoji23] Hapa nimehesabu hadi ground floor lakini bado haifiki 40[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]View attachment 1655192
Simu ndio kiwango cha utajiri wa mtu kwan[emoji848][emoji848]Angalia specifications za simu yako hahahahaaa[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]View attachment 1655213View attachment 1655215View attachment 1655216
Mwanza city, subutu nenda kwadanye wazee hko vijiweni
Wametupa km vile tuliwapa nyinyiMna contribute kwenye nchi inayojitosheleza kwa kila kitu au co, yn mnatoa ajira kwenu mnazileta huku, while u remain with [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]View attachment 1655227
Kwn unapoambiwa upime urefu huaga wewe unaelewa nn kibongo bongoNinyi zenu mnahesabu mpaka mnara sasa hapo slab inayobeba mnara hujaweka.na mnara wenyewe hamuhesabii.
Waambieni wakimaliza waichukue waipeleke kwao basi km vile nyie standard chattered na AFDB watakavyoamua kuchukua vipande vyao vya reli mwakani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnajenga au wachina wanajenga na ni ya kwao 100% ?
Mwanza city population yake iko wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"Are seeing"??How many floors are seeing here?[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]View attachment 1655189
Hyo ni population ya region nzima[emoji1787]