Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahyo viewing decks ni floor [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205]
Is this a floor or not?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]

images%20(5).jpeg
 
Unajua kilimani pekee inaupana mkubwa zaidi ya posta,kariokoo na upanga combined?.... Yani hii ndio posta,kariokoo na upanga vs Ngara ambayo ni mtaa tu na bado cbd,Westlands,kilimani na Mombasa road area hazipo View attachment 1655167View attachment 1655168

Sent from my Infinix NOTE 2 using JamiiForums mobile app
Wewe ni mjinga wa kutupwa, hizo picha ukiangalia zooming ya majengo vinaendana? Sina muda wa kupoteza na mpumbavu, kama hujanielewa amini hivyohivyo sikio la kufa
 
Kwa nini button ya 35 imerukwa? ni kwa sababu sio floor zote zimepewa service ya hiyo lift na ndio kilichotokea kwa floors 4 za uu
Floors gani za juu?[emoji23][emoji23][emoji23] Hapa nimehesabu hadi ground floor lakini bado haifiki 40[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]
tapatalk_1608448498169.jpeg
 
How many floors can you see here?[emoji23][emoji23][emoji23] Nimejaribu kuwa lenient nakahesabu hadi ground yenye haifai kuhesabiwa[emoji23][emoji23][emoji23].[emoji116][emoji116] Mimi nimehesabu 36 floors + ground flour.View attachment 1655169
Hiyo uloweka 37 sio ground ni first floor, ground imezibwa na hizo boats + 2 juu + revolving floor. Kama hapo hutaki kuelewa basi mimi siwezipigia mbuzi gitaa
 
Hiyo uloweka 37 sio ground ni first floor, ground imezibwa na hizo boats + 2 juu + revolving floor. Kama hapo hutaki kuelewa basi mimi siwezipigia mbuzi gitaa
Hakuna kitu sijahesabu hapo[emoji23][emoji23]. TPA will never reach 40 floors[emoji23][emoji23]
 
Nyinyi mabongolala ni pumba za kabisa....yani huezielewa jengo ni la floor thirty five kutoka ground flr hadi flr ya juu,wamefanya mukusudi kuandika thirty six badala ya thirty five

Sent from my Infinix NOTE 2 using JamiiForums mobile app
Lina 10 floors hizo buttons ni lift ya ghorofa flani huko south africa
 
Bro hapo wapi? Mbona kama vile uvira labda na huko upajui Mimi nakuelezea kulingana na experience yangu binafsi sijui umenielewa? Nimekaa Nairobi zimerman,umoja 2,ina core na nimefika mitaa mbali mbali Yani kwa ufupi slum zenu nazijua vizuri[emoji846]mfano slum ya Kwanza na ya pili mathare upande wa desert,ya tatu kibra au kibera alafu ya nne korogocho upande wa mukuru au dandora dumpsite Sawa?[emoji846]

Jamaa kaamua kutuwekea picha za uvira kwa kina Christian bella [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mm hapo huniweki hapo hata kwa bastola[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom