sevenup
JF-Expert Member
- Aug 17, 2018
- 2,548
- 2,448
Unajua kilimani pekee inaupana mkubwa zaidi ya posta,kariokoo na upanga combined?.... Yani hii ndio posta,kariokoo na upanga vs Ngara ambayo ni mtaa tu na bado cbd,Westlands,kilimani na Mombasa road area hazipoHiyo ndio shida yenu wakunya, nairobi inaonekana kwenye picha moja.
So jua kuwa DSM imejengeka sehemu kubwa ndio maana unapata shida kupata DSM kwenye picha moja.
Mfano ni hili hapa, huweziliweka kwenye picha moja na TPA: PPF TOWER : ::: Estim Construction :::
View attachment 1655149
View attachment 1655154
Sent from my Infinix NOTE 2 using JamiiForums mobile app



mfano slum ya Kwanza na ya pili mathare upande wa desert,ya tatu kibra au kibera alafu ya nne korogocho upande wa mukuru au dandora dumpsite Sawa?
