Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nafurahi sana nikiona Watanzania wenzangu mukiwapa wakati mgumu hawa Wakenya, alafu naona ni waongo sana hawa Wakenya kuna mwengine nimemuona akiumbuliwa aliposema barabara ya Namibia ni ya Kenya.

Inaonyesha Wakenya ni waongo sana naomba muwe munawachunguza vizuri post zao ni waongo sana Wakenya.
 
Naona unasifia kinafasi finyu kama hicho...umewahi kusilkia wana diplomasia wa Tz?Ahmed Salim Ahmed,Rose Migiro,Ana Tibaijuka?..na sasa kuna kina Dr mwele.
Pia hizo nafasi za unaowataja ni finyu na hazina umaana
 
JK ndio alichangamsha sana sekta binafsi na kupendezesha miji yetu kwa majengo marefu kama haya,angekua Magu miji ingekuwa na vijengo vya chini iwe inaddarauliwa
Wewe jamaa ni waajabu sana wewe jamaa wewe yani unataka kuwafananisha viongozi wa Tanzania ili iweje sasa au roho inakuuma kuona magufuli anawaka au inakuuma nini kwa mfano hebu tuelezee tukuelewe wewe ni gani wewe jamaa wewe yani sikuelewi kabisa pumbavu wewe.
 
Ndio maana hata mimi nikasema ifike mahara Viongozi wa Tzn waache kufikiria kimaskini na bila kuona mbele,karne hii sio ya kujenga barabara za single lane tena za surface dressing,walau kama hawawezi kuunganisha miji na miji basi sections za mijini ziwe dualing na mataa kabisa
Mfano kwa sasa Tarura wanajitahidi kujenga barabara za mijini kwa asphalt na wanaweka taa kabisaa but still ni single lane,mbaya zaidi barabara za Tanrodsa sio tu ni single lane but pia haziwekwi taa maeneo ya mjini sasa hii haipendezi
Sasa si ungewawekea taa wewe mbona unaongeaongea tu vitu usivyovijua wewe jamaa hauwoni mitaani huku jinsi tulivyowekewa mataa barabarani yani mpaka raha unaongea nini wewe.
 
mfani mdogo sana huu hapa
mtungi wa gas kg 6 unauzwa 3300ksh

wakat mtungi wa gas tz 15kg inauzwa 3800 ksh unweza kupima kww akili ukaona

View attachment 1508170
Atakuambia kwasababu hujui jinsi gesi inavyojazwa katika hiyo mitungi huko Kenya, ni mpaka ufike Nairobi ndio utajua kwanini inauzwa bei hiyo, hahahaha, hahahaha.
 
Mambo kama haya hayatakiwi kuishia Dar na Dodoma tuu,nchii sasa miji mingi imekua na idadi ya watu ni kubwa,dualing of roads zifanyike miji yote mikubwa kama huko Kenya
Nionyeshe barabara ya kenya ambayo wewe unasema ni dual carriage hebu nionyeshe wewe mjinga sio unaongea vitu usivyovijua wewe.
 
Twende taratibu mana leo nakamata mwizi, haya km kweli hyo barabara ni ya Thika hebu niambie hyo road niliyo circle kwa blue ink inaenda wapi na inaitwaje View attachment 1507793

Wewe wacha ujinga. Barabara yote ya lanes mingi huwa na exits kadhaa. Hio ni exit ya kutoka main highway kwenda mitaa na vijijini vinavyokaribia.
Kenya barabara kama hizi majina yake ni 'Exit 1', 'Exit 2', 'Exit 3' na kadhalika.
 
Bring the proof mpuuzi we.

Hizo picha nilikuongeza, wewe huwezi ona ni barabara moja?
Haya ongeza hii pia.

kenol.JPG
 
Wewe wacha ujinga. Barabara yote ya lanes mingi huwa na exits kadhaa. Hio ni exit ya kutoka main highway kwenda mitaa na vijijini vinavyokaribia.
Kenya barabara kama hizi majina yake ni 'Exit 1', 'Exit 2', 'Exit 3' na kadhalika.
Nakuuliza swali kwahiyo hii ni road yenu?
tapatalk_1594834029812.jpeg
 
Hakuna kujitetea, fare imeandikwa hapo kwenye hilo Gari, unataka nifike kufanya nini?. Hivi unataka kila mtu akitaka kujua gharama za maisha hapo Nairobi ni lazima afike Nairobi, hawezi kujua kwa kutumia internet?. Hahahaha
Ndio manake nikakwambia ufike nairobi ndio ujue uhalisia

Nairobi ni place ambayo kuilewa mpka ufike na uishi kw mda kiasi..
Kw mfano:unaweza abiri matatu from point A-B alafu ukakuta fare ni 70, route hyo hyo at the same time mtu anayetoka point B-A analipa fare 30..

So uache ma feelings please, kuja ujione na ukubali kuzidiwa kwanza km mwwnzako aliyeuziwa kachumbari hoteli
 
Back
Top Bottom