Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usije rudia tena kuiba picha za watu ukasema za kenya sawa! Wanaume wanapambana kujenga nchi yao nyie vibaka mnaleta shobo pumbavu, tena unabana na pua kabisa " This is Thika to Kenol dual carriage" mwanaharamu weView attachment 1507524

Hii ni barabara ya Thika hadi Kenol.
Hio blog unayoleta haijasema kuwa bara bara iko Namibia. Imetumia picha tu kama mfano wa dual carriage.

Hii ni barabara nafamu vizuri kwani ni ya kuelekea nyumbani.

Lakini nikasema tu nikuletee picha zingine ili unyamaze. Sawa?
 
Kwani wewe @komora huku soma "sant slave schools" sikuoni ukitumia inglishiii hata siku moja
🤣🤣🤣
88CC0599-9858-4289-B252-F121856C508E.jpeg
 
😂😂🤣🤣🤣🤣

Anakuambia hiyo thika hai wei 😂😂🤣🤣 nikabaki nashangaa tangu lini thika ikawa na black road..ile enyewe thika si ni brown in colour?!!😂😀
Better than hio ya Namibia
FB_IMG_15937630697509829.jpg
 
Hujui chochote wewe mbuzi,mimi sio mpumbavu wa kuishi kwa kulamba matako ya watu kama wewe..kazi yako kulamba miguu ya waliokupa kazi ili uishi,huna uwezo wa kujisimamia lazima ujipendekeze,si ajabu huwa mnatukanwa hadharani mnainamisha vichwa chini kama nyumbu kwa sababu kula kwenu kunamtegemea mtu mnamsifia
Wewe ni poyoyo tuu huna unachojua zaidi ya kupayuka..ndo nakuambia sasa ujue kwamba wewe ni mjinga,barabara zifuatazo hazijakamilika kwa lami toka enzi za JK hadi sasa, Kagera-Kigoma ,Tabora-Kigoma,Mbeya-Tabora,Rukwa/Sumbawanga-Katavi-Kigoma,Katavi-Tabora,Ruvuma/Songea-Morogoro,,Njombe-Ifakara-Mikumi na Arusha-Musoma
Ona chati ifuatayo hapa chini kama unajua kusoma ramani maana naweza kuwa namuelimisha mpumbavu
Sijisumbui we kenge tu, nenda kaliwe kisamvu na wakenya wenzio kunguni wewe.
 
Hii ni barabara ya Thika hadi Kenol.
Hio blog unayoleta haijasema kuwa bara bara iko Namibia. Imetumia picha tu kama mfano wa dual carriage.

Hii ni barabara nafamu vizuri kwani ni ya kuelekea nyumbani.

Lakini nikasema tu nikuletee picha zingine ili unyamaze. Sawa?
Bring the proof mpuuzi we.
 
Correct.
Blog unayoleta imetumia picha kama mfano wa dualcarriage way. Hawajasema kuwa hii ndio barabara halisi ya Namibia.

View attachment 1507735
Twende taratibu mana leo nakamata mwizi, haya km kweli hyo barabara ni ya Thika hebu niambie hyo road niliyo circle kwa blue ink inaenda wapi na inaitwaje
Screenshot_2020-07-15-20-28-39.jpeg
 
Back
Top Bottom