Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha, hata Marekani sio hivyo, tukiwaambia mpo katika Jahanam mnakataa. Hiyo maana yake ni kwamba " go and return trip" ni sasa na $8, kwa siku 30 ni sawa na $240. Hii hata wazungu ni ghali sana.
Tatizo hujafika nairobi na kujua km fare zinaendaje..
 
dar es salaam👇👇👇
47B8F66F-21D9-4086-966A-128920A13B60.jpeg
 
Inflation inapunguza purchasing power ya hela, ko sio ajabu na maisha yakaendelea kuwa magumu halafu unachekelea wazee wa slums, afu badae mnabwabwaja ooh! Nairobi ina GDP kubwa, kumbe ushuzi wa inflation!! hayo mambo wakenya hamuwezi elewa mumelewa sifa
Ndio manake wabongo hku mambo yanawapiga chenga na kusalia barabarani kuombaomba..

Kuna siku nlisema, jamaa wa kibera akija bongo anakodi chumba cha elfu hamsini kijichi bila tatizo lolote
 
Back
Top Bottom