komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Alaaa!!bongo majumba ya kupanga ya teleKwa hiyo unajisifia mtu kupanga chumba!! sijui nani aliwaroga nyie![]()
Alaaa!!bongo majumba ya kupanga ya teleKwa hiyo unajisifia mtu kupanga chumba!! sijui nani aliwaroga nyie![]()
Na bado kuna watu maisha yanawashinda tanzaniaKama mshahara wa MCA hautoshi kulipa nauli ya matatu kwa mwezi mmoja, unategemea MCA ataishi vipi kama sio wizi, rushwa na ujambazi?.
Sasa huku Tanzania hiyo pesa inatosha kulipia, house rent + nauli ya matatu + chakula kwa mwezi mzima. Hiyo ndio maana halisi ya nchi yenye maziwa na asali.



Hata serikali yenyewe ni second hand,imeshindwa kumaliza Corona
Wazembe kama wewe ndio wanaoshindwa maisha, lakini 95% ya watanzania wanaishi maisha mazuri, ndio sababu watanzania wengi hawakimbii na kwenda kuishi nchi za nje kama ilivyo huko Kenya. Hii inaonyesha ni jinsi gani pesa yenu ilivyopoteza uwezo wa kununu bidhaa.Na bado kuna watu maisha yanawashinda tanzania![]()
Kenya DMUs vs Tanzania EMUs the world is not fairI can't wait for next month![]()
![]()
![]()



Unajisifia ujinga.Ndio manake nikakwambia ufike nairobi ndio ujue uhalisia
Nairobi ni place ambayo kuilewa mpka ufike na uishi kw mda kiasi..
Kw mfano:unaweza abiri matatu from point A-B alafu ukakuta fare ni 70, route hyo hyo at the same time mtu anayetoka point B-A analipa fare 30..
So uache ma feelings please, kuja ujione na ukubali kuzidiwa kwanza km mwwnzako aliyeuziwa kachumbari hoteli
Its much better when you guys hold on your league...I can't wait for next month![]()
![]()
![]()






DMU for lifeDiesel league 😂😂😂Its much better when you guys hold on your league...DMU for life
Hiyo ndio maana halisi ya "Failed state", ina maana huwezi kupanga bajeti ya usafiri?, hiyo ni nchi ya hovyo sana. Siwezi kuja Nairobi kwasababu" Kenya is not safe".Ndio manake nikakwambia ufike nairobi ndio ujue uhalisia
Nairobi ni place ambayo kuilewa mpka ufike na uishi kw mda kiasi..
Kw mfano:unaweza abiri matatu from point A-B alafu ukakuta fare ni 70, route hyo hyo at the same time mtu anayetoka point B-A analipa fare 30..
So uache ma feelings please, kuja ujione na ukubali kuzidiwa kwanza km mwwnzako aliyeuziwa kachumbari hoteli
Those are commuter trains to be used in Nairobi, do you any in Dar?Kenya DMUs vs Tanzania EMUs the world is no fair![]()
I can't wait for next month 😍 😍 😍
Yes we do, don't you hear about mwakyembe commuter train, forget about it we are planning to build an elevated commuter rail which will be electrified as usualThose are commuter trains to be used in Nairobi, do you any in Dar?


Tuta tuta tuta gospel choir. Endelea kuimba tuta song.Yes we do, don't you hear about mwakyembe commuter train, forget about it we are planning to build an elevated commuter rail which will be electrified as usual![]()
Nyie semeni hamna umeme wa kutosha, halafu niwaulize tu kiukweli kabisa sababu ya nyie kutumia ma Diesel trains ni nini kama sio umeme hamna??I can't wait for next month![]()
![]()
![]()
Sasa unalia nn, uchumi wako hauruhusu kuwa na electric rail huna la kufanya na hyo kitu niliyokuambia ni soon tu inakwenda kuwa implemented c mnatujua cc hatuna maneno mingiTuta tuta tuta gospel choir. Endelea kuimba tuta song.


Yaani hata zile ambazo ziko proposed kwenye light rail ya Dar ni EMU. Wakenya stay in your lane.Diesel league 😂😂😂