Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni barabara ya Thika hadi Kenol.
Hio blog unayoleta haijasema kuwa bara bara iko Namibia. Imetumia picha tu kama mfano wa dual carriage.

Hii ni barabara nafamu vizuri kwani ni ya kuelekea nyumbani.

Lakini nikasema tu nikuletee picha zingine ili unyamaze. Sawa?
Hahahahahahahaaaa mwiziiiiii komora096 njoo huku utuhakikishie km hii road ni ya Thika
Screenshot_2020-07-15-00-16-58.jpeg
 
Better than hio ya Namibia
View attachment 1507770
Hahahaaa mmeona jamani watanzania Wakenya jinc walivyokuwa hawako fair, yn yuko ladhi apambane hata kama ni uongo alazimishe lkn Wakenya wenzie wanakausha but ingekuwa cc tayari Geza ulole wala asingeniacha angenichana mchana kweupe, so now u know what kind of battle we are battling, it's absolutely unfair battle.

Lkn na ww hyo road uliyoweka haiwez fikia hii kwa quality and impression.
tapatalk_1593764315254.jpeg
 
Back
Top Bottom