Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,907
- 103,771
Wengine walilima hekari elfu mbili wakafungua uzi wa kujaza server bure



Aisee si waandike kwa vernacular zao? "Kanahojiwa"...
mkuu naona ndula za uhuru kenyatta api hapo zimeyumba zimekaa kama boti ya uvuvi






Kama mshahara wa MCA hautoshi kulipa nauli ya matatu kwa mwezi mmoja, unategemea MCA ataishi vipi kama sio wizi, rushwa na ujambazi?.Hyo 12k kuna watu wa slums wanalipa pia
Tatizo hujafika nairobi na kujua km fare zinaendaje..
Kwa hiyo unajisifia mtu kupanga chumba!! sijui nani aliwaroga nyie 👐Ndio manake wabongo hku mambo yanawapiga chenga na kusalia barabarani kuombaomba..
Kuna siku nlisema, jamaa wa kibera akija bongo anakodi chumba cha elfu hamsini kijichi bila tatizo lolote
Unaniuliza wakati wewe ni mmoja wenye njaa!Leo wamekufa wangapi kwa njaa
mfani mdogo sana huu hapa 👇👇👇Hakuna kujitetea, fare imeandikwa hapo kwenye hilo Gari, unataka nifike kufanya nini?. Hivi unataka kila mtu akitaka kujua gharama za maisha hapo Nairobi ni lazima afike Nairobi, hawezi kujua kwa kutumia internet?. Hahahaha
I wish mgekua mnafuata mambo ya CCM kwa kina kama vile mnafuata mambo ya Kenya.mfani mdogo sana huu hapa
mtungi wa gas kg 6 unauzwa 3300ksh
wakat mtungi wa gas tz 15kg inauzwa 3800 ksh unweza kupima kww akili ukaona
View attachment 1508170
Duh kenya hakuna serikaliNdivyo wanavy fanya ukikuta matatu iliyo pipiwa vizur na maflat screen ujue hata bei ni tofauti....wajinga sana hawa....
Major General anafanya yake.Hawa magereza wanapambana si mchezo: