Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni majanga. Mwambie afanye hivyo hivyo kwa Korean Won au Japanese Yen kama atanunua hata noodle moja

Angalia Hela yao haya wanachoweza kupata , na thamani hiyo hiyo Bongo anapata nini.

Usafiri, hata wakati wa Corona Nauli hazijapanda na Watu walitakiwa kukaa level Seat,
Mfano Mwendokasi ni 650 Tsh ambayo kwa Kenya ni KES

View attachment 1507440


Angalia Nauli za Matatu ni Mara 5 hadi Mara sita ya nauli ya mwendokasi Dar.


View attachment 1507441

Bado yupo hapa anasherehekea , what a loss !
Whaat? Nauli ya matatu sawa na TSh 4300!!

1594822294394.png
 
Na watu wanapanda daily kwenda town kufanya kazi zao na kurudi..
Especially wasee wa ghetto na slums
Inflation inapunguza purchasing power ya hela, ko sio ajabu na maisha yakaendelea kuwa magumu halafu unachekelea wazee wa slums, afu badae mnabwabwaja ooh! Nairobi ina GDP kubwa, kumbe ushuzi wa inflation!! 😂😂😂hayo mambo wakenya hamuwezi elewa mumelewa sifa
 
Na watu wanapanda daily kwenda town kufanya kazi zao na kurudi..
Especially wasee wa ghetto na slums
Hahahaha, hata Marekani sio hivyo, tukiwaambia mpo katika Jahanam mnakataa. Hiyo maana yake ni kwamba " go and return trip" ni sasa na $8, kwa siku 30 ni sawa na $240. Hii hata wazungu ni ghali sana.
 
Kenya haiwezi kuwa na magari mengi kuzidi tzd,piga ua garagaza..niko tayari tuhesabu gari moja baada ya jingine
Wakenya walivyo masikini vilr,hayo magari wanapata wapi eti..hivi mkenya wa mathare,korogocho,dandora,kiambiui,dongo kundu wanapata wapi hela ya kununua gari wakati ugali tu unawatoa kamasi
 
Ni majanga. Mwambie afanye hivyo hivyo kwa Korean Won au Japanese Yen kama atanunua hata noodle moja

Angalia Hela yao haya wanachoweza kupata , na thamani hiyo hiyo Bongo anapata nini.

Usafiri, hata wakati wa Corona Nauli hazijapanda na Watu walitakiwa kukaa level Seat,
Mfano Mwendokasi ni 650 Tsh ambayo kwa Kenya ni KES

View attachment 1507440


Angalia Nauli za Matatu ni Mara 5 hadi Mara sita ya nauli ya mwendokasi Dar.


View attachment 1507441

Bado yupo hapa anasherehekea , what a loss !
Du ksh200 !?? kwenda na kurudi ksh400
 
Back
Top Bottom