wakuja town
JF-Expert Member
- Oct 26, 2020
- 898
- 1,342
Muasisi wa wasiojulikana.Wewe utakuwa umerogwa siyo bure.
Yaani Mwigulu ndiyo awe makamu wa rais wa Tanzania?
Muasisi wa wasiojulikana.Wewe utakuwa umerogwa siyo bure.
Yaani Mwigulu ndiyo awe makamu wa rais wa Tanzania?
Hili nililitegemeaKigezo cha kwanza kwenye majina lazima awe mkristo ili kubalance haiwezekani wote wakawa waislamu haya tuanze upya kufikiria
Bora ya zamani, wasukuma awaamini upepo umegeukaYaaaaaap mkuu mambo yarud kama zaman
It is true, but the problem within CCM is how to hold western Tanzania votes. Informed from this polical consideration we are likely to get a VP whom we did not think of.Ila katiba haimtambui VC president mwanamke?Mbona imetumia. His,he?
Waandishi wa katiba hawakuwahi kutarajia mwanamke anaweza kuwa Raisi au
Mmeanza kupiga ramliPoleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.
R.I.P Magufuli.
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie .Apumzike kwa amani. AminaPoleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.
R.I.P Magufuli.
You can't be serious !Mwigulu Nchemba.
Palamagamba Kabudi.
Phillip Mpango.
WasahauNasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.
Haiwezekani wanataka waendelee kufugana, naimani mama Samia ataondoa huu ukabila uliojitokeza katika hii miaka sita.Nasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.
Umeonaeee?Muasisi wa wasiojulikana.
Rudi kwenu ukachunge ng'ombe achana na siasaAtafaa, maana kiukweli sioni mtu wa kuvaa viatu vyake zaidi ya Kabudi, wengine wote nikiwaangalia nawaona ni rojo rojo kwa mabeberu
Musiba atosha !!Waunga juhudi,
Wasiojulikana
Bashite
Chalamila
Musiba
Sabaya
Imeisha hio
Umeongea kama mwanaume !Itapendeza ,kufumba macho ,kubadilisha baadhi ya vifungu , makamu atoke vyama vya upinzani ikiwa ni pamoja kuvunja bunge , namanisha uchaguzi wa wabunge na madiwani urudiwe upya.
Lengo kuleta mshikamano wa kitaifa, hata huwe malaika kuongoza nchi ikiwa imagawanyika ni ngum Sana, wazee ,wastahafu kutoka CCM, hapa simameni imara kwa maslahi mapana ya taifa.
Hakika,lkn kwa mawazo yangu Bashiru ,Mwigulu hao ni watu hawafai kabisa kuwepo kwenye level ya urais maana akili zao ni zilezile tu za kibaguziNi wakati wa CCM kushikamana na kuwa kitu kimoja ili mtupatie VP ambaye atatenda haki kwa watanzania wote na atakayemshauri mama yetu kwa ustadi na weredi mkubwa. VP mwenye hofu ya Mungu ndiye atakayetufaa kwa sasa.
KwishaaaaaaWaunga juhudi,
Wasiojulikana
Bashite
Chalamila
Musiba
Sabaya
Imeisha hio
Yani hapa inatakiwa apangie kuanzia wakurungezi, wakuu wa wilaya na mkoa, makatibu wa wizara mbali mbali. Kiujumla tunahitaji total overallBila shaka kwa nafasi hii watu hawalali, Lumumba na viunga vyake, baraza la Mawaziri nalo lipo tumbo joto maana lazima pangua pangua itakuwepo, kwa nafasi ya VP hapo January ndio chaguo la mama, kiufupi CCM ya asilia inarudi, MATAGA mwisho rasmi umefika.