Ni wakati wa CCM kushikamana na kuwa kitu kimoja ili mtupatie VP ambaye atatenda haki kwa watanzania wote na atakayemshauri mama yetu kwa ustadi na weredi mkubwa. VP mwenye hofu ya Mungu ndiye atakayetufaa kwa sasa.
 
Ila katiba haimtambui VC president mwanamke?Mbona imetumia. His,he?

Waandishi wa katiba hawakuwahi kutarajia mwanamke anaweza kuwa Raisi au
It is true, but the problem within CCM is how to hold western Tanzania votes. Informed from this polical consideration we are likely to get a VP whom we did not think of.
 
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.

Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.

Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?

Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.

R.I.P Magufuli.
Mmeanza kupiga ramli

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.

Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.

Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?

Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.

R.I.P Magufuli.
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie .Apumzike kwa amani. Amina
 
Itapendeza ,kufumba macho ,kubadilisha baadhi ya vifungu , makamu atoke vyama vya upinzani ikiwa ni pamoja kuvunja bunge , namanisha uchaguzi wa wabunge na madiwani urudiwe upya.

Lengo kuleta mshikamano wa kitaifa, hata huwe malaika kuongoza nchi ikiwa imagawanyika ni ngum Sana, wazee ,wastahafu kutoka CCM, hapa simameni imara kwa maslahi mapana ya taifa.
Umeongea kama mwanaume !

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Ni wakati wa CCM kushikamana na kuwa kitu kimoja ili mtupatie VP ambaye atatenda haki kwa watanzania wote na atakayemshauri mama yetu kwa ustadi na weredi mkubwa. VP mwenye hofu ya Mungu ndiye atakayetufaa kwa sasa.
Hakika,lkn kwa mawazo yangu Bashiru ,Mwigulu hao ni watu hawafai kabisa kuwepo kwenye level ya urais maana akili zao ni zilezile tu za kibaguzi
 
Bila shaka kwa nafasi hii watu hawalali, Lumumba na viunga vyake, baraza la Mawaziri nalo lipo tumbo joto maana lazima pangua pangua itakuwepo, kwa nafasi ya VP hapo January ndio chaguo la mama, kiufupi CCM ya asilia inarudi, MATAGA mwisho rasmi umefika.
Yani hapa inatakiwa apangie kuanzia wakurungezi, wakuu wa wilaya na mkoa, makatibu wa wizara mbali mbali. Kiujumla tunahitaji total overall

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom