Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
Maneno ya Mwenyekiti CCM Taifa kuwa Watanzania wanapaswa kuelimishwa kuhusu Katiba ili ndo mchakato uanze ni kauli inayofanania na ile ya wakoloni walitaka uhuru ucheleweshwe kwa sababu Watanganyika walikuwa hawana uelewa wa masuala ya kujitawala.
Ni ulevi wa madaraka na uditekta dhidi ya Tanzania na Watanzania ndiyo unampa jeuri anayewaza hivyo kutamka hadharani.
Tazama video uelimike zaidi
===
Ninajua sababu kwanini umeng’ang’ania Katiba ya Kale, umeona umeshakwisha, kwamba uchaguzi wowote wa haki utashindwa.
Ndiyo maana unategemea polisi tu na usalama muende mkapore. Nyerere kupata uhuru miaka 6, 7 kapata uhuru. Sisi miaka 19 na bado eti tunawabembeleza wakubali tuwe na katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Upumbavu gani huu, na ujinga gani huu, na uchuro gani huu, na dhuruma gani hii, CCM kwanini mmetudhurumu watanzania namna hii, kukubali ukae madarakani ndio umeamua kuwa jeuri namna hii? Unataka kutawala miaka yote wewe mwenyewe? Peke yako? Sasa watu hawakutaki.
Wangekuwa wanakutaka ungeruhusu katiba mpya, marekebisho yaliyo nyooka ya tume huru ya uchaguzi. Lakini tunakubembeleza CCM wewe utupe katiba mpya, eti hatudai, tunakumbembeleza CCM. Eti wewe mpaka ukubali ndipo tume inyooke, ukikataa haitanyooka. Upumbavu gani wa nchi hii jamani, ni nini hii nchi jamani
Mkoloni miaka 6, 7 tumepata uhuru, hivi vikaragosi miaka 19 na kuendelea bado vinang’ang’ania, tunavibembeleza?
Askofu Victor Chisanga
Ni ulevi wa madaraka na uditekta dhidi ya Tanzania na Watanzania ndiyo unampa jeuri anayewaza hivyo kutamka hadharani.
Tazama video uelimike zaidi
===
Ninajua sababu kwanini umeng’ang’ania Katiba ya Kale, umeona umeshakwisha, kwamba uchaguzi wowote wa haki utashindwa.
Ndiyo maana unategemea polisi tu na usalama muende mkapore. Nyerere kupata uhuru miaka 6, 7 kapata uhuru. Sisi miaka 19 na bado eti tunawabembeleza wakubali tuwe na katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Upumbavu gani huu, na ujinga gani huu, na uchuro gani huu, na dhuruma gani hii, CCM kwanini mmetudhurumu watanzania namna hii, kukubali ukae madarakani ndio umeamua kuwa jeuri namna hii? Unataka kutawala miaka yote wewe mwenyewe? Peke yako? Sasa watu hawakutaki.
Wangekuwa wanakutaka ungeruhusu katiba mpya, marekebisho yaliyo nyooka ya tume huru ya uchaguzi. Lakini tunakubembeleza CCM wewe utupe katiba mpya, eti hatudai, tunakumbembeleza CCM. Eti wewe mpaka ukubali ndipo tume inyooke, ukikataa haitanyooka. Upumbavu gani wa nchi hii jamani, ni nini hii nchi jamani
Mkoloni miaka 6, 7 tumepata uhuru, hivi vikaragosi miaka 19 na kuendelea bado vinang’ang’ania, tunavibembeleza?
Askofu Victor Chisanga