MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Inashangaza na kuchukiza kusikia Eti Wananchi wa Nchi hii Hawaijui KATIBA ya NCHI yao.
Wenye AKILI KUBWA TULISEMA Mapema kuwa CCM haitaki WATANZANIA wapate KATIBA MPYA .Dalili za KUKATAA zilianza Wakati wa BUNGE la KATIBA Yaliyompata Mwenyekiti wa TUME ya KATIBA Mh JAJI WARIOBA na Wajumbe wake wote tunajua.
Kama mnakumbuka CCM iliweka Ajenda ya Katiba Mpya katika ILANI yake ya UCHAGUZI wa 2025 Lakini HAYATI MAGUFULI alipopata URAIS alisema hana BAJETI na pia Sio KIPAU mbele cha CCM.
Rais Samia nae alipoingia Madarakani badala ya kuendeleza ULE MCHAKATO uliotumia MABILIONI ya Fedha ambazo ni KODI za Wanyonge yeye akaamua kuturudisha Nyuma kabisa kwa KUUNDA KIKOSI KAZI ETI cha kukusanya Maoni ya baadhi ya Watu mashuhuru badala ya Wananchi wote ambao ndio wenye KATIBA YAO huo nao ni UCHELEWESHAJI.
Leo RAIS SAMIA anadai ETI Wananchi hawaijui KATIBA wanatakiwa Wapatiwe ELIMU ya KATIBA kwa Miaka 3 jambo ambalo wenye AKILI KUBWA tunajua ni KUTOKUWA Tayari kwa CCM kuwapatia WANANCHI KATIBA
YAO.
TUME ya Jaji WARIOBA ilizunguka NCHI ZIMA kutoa Elimu ya KATIBA na kugawa Nakala za KATIBA na Vipeperusha kwa Wananchi wote iweje leo tunaambiwa eti Wananchi hawana ELIMU ya KATIBA?
Ukweli usemwe CCM HAITAKI KATIBA MPYA
Wenye AKILI KUBWA TULISEMA Mapema kuwa CCM haitaki WATANZANIA wapate KATIBA MPYA .Dalili za KUKATAA zilianza Wakati wa BUNGE la KATIBA Yaliyompata Mwenyekiti wa TUME ya KATIBA Mh JAJI WARIOBA na Wajumbe wake wote tunajua.
Kama mnakumbuka CCM iliweka Ajenda ya Katiba Mpya katika ILANI yake ya UCHAGUZI wa 2025 Lakini HAYATI MAGUFULI alipopata URAIS alisema hana BAJETI na pia Sio KIPAU mbele cha CCM.
Rais Samia nae alipoingia Madarakani badala ya kuendeleza ULE MCHAKATO uliotumia MABILIONI ya Fedha ambazo ni KODI za Wanyonge yeye akaamua kuturudisha Nyuma kabisa kwa KUUNDA KIKOSI KAZI ETI cha kukusanya Maoni ya baadhi ya Watu mashuhuru badala ya Wananchi wote ambao ndio wenye KATIBA YAO huo nao ni UCHELEWESHAJI.
Leo RAIS SAMIA anadai ETI Wananchi hawaijui KATIBA wanatakiwa Wapatiwe ELIMU ya KATIBA kwa Miaka 3 jambo ambalo wenye AKILI KUBWA tunajua ni KUTOKUWA Tayari kwa CCM kuwapatia WANANCHI KATIBA
YAO.
TUME ya Jaji WARIOBA ilizunguka NCHI ZIMA kutoa Elimu ya KATIBA na kugawa Nakala za KATIBA na Vipeperusha kwa Wananchi wote iweje leo tunaambiwa eti Wananchi hawana ELIMU ya KATIBA?
Ukweli usemwe CCM HAITAKI KATIBA MPYA