Na vipi kutegua kitendawili kilichomshinda hayati takribani kwa miaka 6, cha kupandisha madaraja watumishi wa umma? Au huo siyo uthubutu?
 
Tatizo la Tanzania ndio hili
Yan kila mtu anauwezo wa kuisema the way anataka taasisi ya urais!

Ww ujui kuwa urais ni taasisi?
Kiboko yenu alikuwa Magufuli tu waropokaji hovyo! Maana ukiwasikiliza wabongo kwa kila lalamiko lao utajikuta unaogopa kufanya kila kitu!
Watakuyumbisha vibaya mno yani!
 
Inaonekana hata kuongoza familia yako huwezi,asubuhi yote hii kuanza kumsema mama wa watu kwamba hana uwezo!! Shame on you...Fanya kazi acha majungu tena asubuhi yote hii
 
Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.

Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!

Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).

Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.

Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yoyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.

Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.

Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Mpaka aue watu ndio utaona anaweza kuongoza?
 
Usitukumbushe habari ya dikteta, mtu anataka kuongea yeye tu mwanzo mwisho miaka 5 wengine hapana - eti na kauli yake inageuka hapo hapo na kuwa sheria.
Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).
 
Namuombea mama asilaze damu, mwenyezi amsaidie maana hili DUBWANA linaloitwa Tanzania, ukienda na mambo ya kubembelezana aliendi popote.

Kila la kheri mama Samia.
 
Kiboko yenu alikuwa Magufuli tu waropokaji hovyo! Maana ukiwasikiliza wabongo kwa kila lalamiko lao utajikuta unaogopa kufanya kila kitu!
Watakuyumbisha vibaya mno yani!

Yah ndio maana Magu alikuja na staili yake,
Yan mtu hata ajui usiku atakula nn anakuja kumuongelea rais kama anaongea na house girl wake
 
Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.

Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!

Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).

Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.

Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yoyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.

Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.

Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Mwacheni mama afanye kazi. Ndo kwanza hata miezi miwili ofisini hajatimiza.
 
Yah ndio maana Magu alikuja na staili yake,
Yan mtu hata ajui usiku atakula nn anakuja kumuongelea rais kama anaongea na house girl wake
Wabongo ni vichwa vya wendawazimu kila mtu akija ananyoa tu atakavyo! Sasa Magufuli alitaka kuset standards na kama uliona alianza kuwa kavu baada ya wapinzani kuongoza genge la raia ambao wao kazi yao ni kupinga tu na kuropoka hovyo mitandaoni na kuidhihaki taasisi ya uraisi!

This was also done by the late Nyerere ila approach yake ilikuwa kuwachapa fimbo hao watu wasiojielewa sasa sijui walitaka na Magufuli aanze kuwachapa bakora akina Mbowe?
 
Unaona hatareee hii ? Kama uhaki utaonywesha Chama hicho alichokuwemo kilishaanguka zamani,na ushahidi mzuri ni Zanzibar na zaidi mkowa wa pemba,tuliache hilo.
Si kila mkuu wa jeshi anaweza kuwepo front line hata awemo jeshini kwenye vikundi mbalimbali,front line ni jambo lingine kufa au kupona,kuna Raisi amefariki hivi karibuni akiwepo kwenye vita dhidi ya waasi ,sio wale vita imeisha eti ndio anakwenda mstari wa mbele na mipicha kibao ,turudi kwenye mada.

Kuuliza si ujinga na maendeleo hayana Chama...sawasawa..., Rasi Samia ameingia kwa jazba na kuwaaminisha wengi kuwa anaweza,ripoti ya CAG na yaliojiri BOT yanachemka juu ya mabega yake ,sasa kimya kimekuwa kikubwa,pengine hakujua matokeo yatamgusa aliemteua au aliowateuwa,hatuwezi kujua.

Tunaona amecheza drafti kupanga kete anavyohisi yeye atashinda, kunapotolewa maagizo halafu ukaona kimya na hakuna haua wala update basi ujue hapo kuna tatizo la piga tajame.
Enzi za msukuma mwenzio hata hiyo ripoti ya CAG usingeiona..... get used to it, he's gone, forever, hatarudi tena, ... as a country tumejifuza , hatutarudia tena kufanya kosa lile , Mungu ni mwema kila wakati" na kila wakati Mungu ni mwema na anatupenda sana watanzania.
Kazi ziendelee.
 
Nimeanza kupata wasiwasi haswa pale anaposoma hotuba, hotuba zake, tones ya sauti yake inaonekana kama inayovizia wasikilizaji, inaonekana ya mtu aliechooka na kama haitoshi ina kapresha fulani hivi, kapumzi cha kuhema, pengine ni unene alionao au hofu.

Japo anajisifu kuwa anafuata nyayo za Rais aliefariki Marehemu Magufuli na kuyatekeleza yale yote aliyoyaacha Marehemu, nakaribia kuapa kwamba hilo haliwezi hata azikiri...!

Magufuli alikuwa na uthubutu wa papo kwa papo na hata akiwa mbali, halazi damu kwa wazembe wa mchana kweupe. (Alikuwa na kasoro zake nyingi tu, ila alikuwa anajua kusimamia uchapa kazi).

Huyu Bikashoo nahisi anaona watu wako poa na kila akiitwa mama ,anasahau kama anavishwa kilemba cha ukoka. Mpaka sasa kuna mambo yameshaanza kupwaya, bado nasubiri kuona uchapa kazi wake, ila kwa sasa naona ni mtu wa mikutano wa kupenda kuhudhuria huku na kule akitoa hotuba na matangazo.

Rais Samia bado hajaonyesha uwajibikaji wa aina yoyote ile ,yupo yupo tu ,labda tusubiri mwezi wa ramadhani uishe, hayo ya kupanga Mawaziri ,makatibu ndani ya srikali na ndani ya Chama chake,si ya kushitua ni yao hayo ,na yeyote aakiipata nafasi hiyo ,hayo anaweza kuyafanya kwa mwembwe kuliko zake.

Ni jambo gani mwananchi anaweza kusema hili limefanyika kutokana na amri au uongozi wake,mimi sijaona kama yupo alieona atuwekee, spika amewaumbua askari polisi na kimeeleweka anachokisema, japo nae hana jema hata moja.

Tanzania haitajengwa kwa hotuba nzuri zilizosheheni ahadi.
Watu wenye akili humpima raisi kwa japo kipindi cha siku 100? Wewe unampima kwa wiki 3.
Mashetani nyie
Kamfufueni mle nyama
 
Inaonekana umeanza kukua nyakati za hayati Magufuli inaonekana enzi za Mkapa na JK ulikuwa bado huelewi maana ya urais na namna gani Rais anafanya kazi.

Kosa lako linafanywa na wengi, kuamini kuwa ni lazima Rais Samia afanane mia kwa mia na hayati. Hakuna ulazima huo kila Rais ana vipaumbele vyake, ana hekima yake inayojitegemea na anayo haki ya kuwa yeye kama yeye.

Ondokana na dhana potofu ya kufananisha marais.
Ni kawaida siku zote, ukitaka kujua nani bora kuliko wengine lazima ufananishe.

Shamba bora lazima ufananishe na shamba lingine, na ni kwa kila kitu. Gari kwa gari, mtu na mtu, Daktari na Daktari na vingine vingi. Na hii itakuja kwa Rais kwa Rais.
 
Unajua sisi wananchi hatutaki buguza kabisa ndiyo maana kuna baadhi ya vijiji ukienda wao hawajui hata umuhimu wa rais yaani wao wanachoshuru ni amani na maisha yao yanakwenda vp hayo mengine mtajijua nyinyi na serikali yenu

Mimi nimeishi sana maisha ambayo sikujua kama ipo kijijini kwetu kutakua na umeme yaani niliamini haiwezekani yaani wewe achaa tuu
 
Yaani asubuhi yote hii unaamka na hangover kwa mama? Wacha ujinga mwamba! Mama mbona kazi anapiga fresh tu? Mlizoea kututukana nyie Wasukuma kila uchao! Tukubali tu kwamba Jiwe limefamba na hatutaliona tena!
Dah, mkuu wasukuma wamekufanya nini mbona umejaa sumu hivyo?.
 
Corona haina cha kufanya na Chadema wala agenda yoyote katika hizo 4 nilizoorodhesha hapo. Hizo ni agenda za msingi kwa mzalendo yeyote mwenye uchungu na nchi hii.

Nimeandika wazi kinachotakikana kuhusiana na Corona: "tupate ripoti na ushauri wa wataalamu kuhusiana na ugonjwa huu."

Mbona kujivika ujuaji wa kimsukuma msukuma jombi? Kuweni na aibu japo kidogo basi? Kila kitu mmetanguliza siasa uchwara.

Lini mta balehe mpate kujua kuwa si kila mtu ni mburula kama nyie?

Disgusting!

Wasukuma wa mataga ndivyo walivyo...
1620111651110.png
 
Back
Top Bottom