jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,204
- 1,939
Nina mashaka hata kama miradi iliyokua inafanywa ataikamilisha..Mama amekaa na jiwe miaka mitano. Anajua nchi inavyoendeshwa kuliko wewe. Anachokifanya anakijua. Mazuri yaliyokuwepo na mabaya yaliyokuwepo anayajua.