Nashangaa wanamuonea Waziri Gwajima wakati wote walikuwa wanahubiri nyungu!Aliesema chanjo hazifai ni aliekuwa raisi na akawataka wizara ya afya watafute njia mbadala.
Hakuna sehemu Dr Gwajima au mtu yeyote kutoka wizara ya afya aliewahi kusema chanjo hazifai, zaidi ya kutekeleza kile walichoagizwa.
Kwakuwa serikali nzima ilikuwa kimya wakati Magufuli anaongea, wote walioenda kupiga chanjo basi wabebe mzigo raisi, makamu, waziri mkuu wote walikuwa kwenye serikali iliyopita.
Mna majungu ya kishamba kweli.