Hawa mapacha ni full comedian eti blenda ya asili
 

Attachments

  • VID-20210820-WA0143.mp4
    2 MB
Amewataka:

: Waziri wa afya na naibu wake wajiuzulu

: Dorothy ni mke wao

: Amemsifu Ndungulile kwa sababu alitumbuliwa kwa kusimamia ukweli wake kipindi cha meko

Huyo ndiye Joseph at Gwajima ,ukitaka ligi na yeye ujipange haswa.
: Akipata mtu wa kumuelewesha ataelewa ila hawa easily hawafai ni vigeu gemu.

: D oroth anasema nilikamatwa na mrembo, je kwani mrembo wana ubaya gani?

--
y
 
Ilikuwa ni wakati huna jinsi tumia taaluma uliwe kichwa au kuwa loudspeaker mwisho wa mwezi usomeke.
Ndungulile alisema ukweli akaliwa kichwa
Kalonji, upo sahihi. Mh. Ndugulile alichukua uamuzi mzuri sana pale alipoonyesha "professionalism" katika suala hili la Corona. Ndio maana aliliwakichwa.
 
Wengine tulishauri huyo Mama aachane na mambo binafsi ya huyo jamaa sababu ana uzoefu na hizo battle.

Kuna uwezekano mkubwa huyo Mama akapigwa chini na aliyemteua.
 
"Hakuna sehemu Dr Gwajima au mtu yeyote kutoka wizara ya afya aliewahi kusema chanjo hazifai, zaidi ya kutekeleza kile walichoagizwa. "


Usitufanye hatuna smart phone au tumezaliwa leo kuwa hatukuwahi kuwaona na kuwasikikiza kwenye runinga wakipiga nyungu na kusema chanjo hii haijafanyiwa study ya kutosha, Kama nadanganya nenda YouTube !!


Muwe mnakaa kimya wakati mwingine maana mnajikuta wa ajabu
Na wewe acha ubishi kipindi mollel anapinga chanjo wasafi fm ulikuwa bado hujaja town
 
Kabisa watu wanadhani wataalamu wote wa afya duniani wanaulewa huo ugonjwa wa COVID kinaga ubaga kama ilivyo kwa malaria.

Huo ugonjwa ni mpya sasa hivi tu kuna discussion za ‘long-haulers’ imebainika kuna wagonjwa wengi sana wanabaki na symptoms za COVID symptoms ata baada ya kupona.

Wataalamu wanataka kujua ni kwanini; sasa info kama hizi zinatokana reports, nchi ambazo zina records za wagonjwa wake na wanasampuli wanayoifuatilia.

In short pathophysiology ya uelewa wa COVID zina badilika kila siku kadri wasayansi wanavyojifunza. Na dunia inajifunza kupitia hizi taasisi zinazo fuatilia kwa karibu huu ugonjwa.

Dr Gwajima (kupitia leadership ya serikali) yeye alisimamia kile alichojua kwa wakati ule na msimamo wa boss.

Hata ivyo hizo chanjo yeye au nani mwingine angeenda ziagiza vipi? wao ndio wanaidhinisha matumizi ya serikali, bila ya kibali cha boss.

If anything dawa asili was the ministry attempt to make the most of what they had.

Hawa watu wanaomlaumu huyu mama ni waajabu kweli kweli.
 
Wengine tulishauri huyo Mama aachane na mambo binafsi ya huyo jamaa sababu ana uzoefu na hizo battle.

Kuna uwezekano mkubwa huyo Mama akapigwa chini na aliyemteua.
Ikitokea hivyo hayo yatakuwa maajabu ya karne hii!

Waziri apigwe chini kwa kutekeleza majukumu yake kwa sababu ya mtu anayepinga maamuzi halari ya serikali? Sijui kwa nini unafikiria hivyo?
 
Hakuna mtu mwenye hati miliki ya jina kuna watu wengine wanatumia Gwajima kwani wao wanasemaje.Waziri tumia jina hilo hilo waende mahakamani
 
Nadhani hapa tujifunze huu ujinga wa jina la mume na ukoo nikujizalilisha ona sasa Dorothy kisa majukumu yake ya kazi anazalilishwa kwa jina la ukoo mwingine, wakati ukoo mzima wa gwajima ukute hawana shule ka yake
shule inahusiana nini na jina,na huyo mama shule yake haijamkomboa.
 
Amewataka:

: Waziri wa afya na naibu wake wajiuzulu

: Dorothy ni mke wao

: Amemsifu Ndungulile kwa sababu alitumbuliwa kwa kusimamia ukweli wake kipindi cha meko

: Akipata mtu wa kumuelewesha ataelewa ila hawa easily hawafai ni vigeu gemu.

: D oroth anasema nilikamatwa na mrembo, je kwani mrembo wana ubaya gani?

--
Dorothy kama mkwe ni aibu tupu,ni pure mchumia tumbo.Anaweza kuuza ukoo mzima huyu.
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom