Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Amewataka:
: Waziri wa afya na naibu wake wajiuzulu
: Dorothy ni mke wao
: Amemsifu Ndungulile kwa sababu alitumbuliwa kwa kusimamia ukweli wake kipindi cha meko
: Akipata mtu wa kumuelewesha ataelewa ila hawa easily hawafai ni vigeu gemu.
: D oroth anasema nilikamatwa na mrembo, je kwani mrembo wana ubaya gani?
--
: Waziri wa afya na naibu wake wajiuzulu
: Dorothy ni mke wao
: Amemsifu Ndungulile kwa sababu alitumbuliwa kwa kusimamia ukweli wake kipindi cha meko
: Akipata mtu wa kumuelewesha ataelewa ila hawa easily hawafai ni vigeu gemu.
: D oroth anasema nilikamatwa na mrembo, je kwani mrembo wana ubaya gani?
--
Mambo yamekuwa mambo huko kwenye kanisa la ufufuo na uzima
Baba Mkwe wa Waziri wa afya Dorothy Gwajima Leo amesisitiza Dorothy abadili jina na atumie jina lake la ukoo wa kinyiramba
Aidha Askofu Gwajima anasema tangu yule Mama aolewe kwenye ukoo wao amekuwa akiwachonganisha sana
Video za Waziri Dorothy na naibu wake Mollel zimerushwa live kanisani walipokuwa wakisema chanjo hazifai na sasa zinafaa
Askofu Gwajima amesisitiza Waziri wa afya na naibu wake wajiuzulu
Askofu Gwajima amedokeza kwa ufupi kuwa kabla ya Dorothy kujiunga kwenye ukoo wa Gwajima aliachika na Mume mungine
Kwa kumuheshimu Rais Samia Gwajima amesema atamwaga mboga siku nyingine kama wataendelea kuwa mawaziri bila kujiuzuru wenyewe