Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,760
- 29,320
Same game plan, rotatem them, baada ya muda watz ni warahis mno kusahauSame ‘ol same ‘ol!
It’s the same damn party and the same damn people...
Same game plan, rotatem them, baada ya muda watz ni warahis mno kusahauSame ‘ol same ‘ol!
It’s the same damn party and the same damn people...
Umakini wake umeshindwa kutatua mambo ya msingi licha ya kuwepo madarakani kwa zaidi ya miaka 60!CHAMA CHA MAPINDUZI NI MAKINI HAIJAWAHI KUTOKEA WALLAH
Halafu wakizungushwa tena, watu watakuja kumwaga pongezi!Same game plan, rotatem them, baada ya muda watz ni warahis mno kusahau
Kimekuhusu wewe NyumbuJamani hata hichi kikao Cha leo kimewasahau
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Pamoja na kuweka namba za simu bado hata kubipiwa!!!
ngoma huanza alele nduguUmakini wake umeshindwa kutatua mambo ya msingi licha ya kuwepo madarakani kwa zaidi ya miaka 60!
Replacement ya Jokate je?
Maiti wanabadilishiwa mortuary
Business as usual. Until kizaz cha watanzania watakapo toka usingiziniHalafu wakizungushwa tena, watu watakuja kumwaga pongezi!
Sioni kama kuna kiongozi mwenye ushawishi na mvuto kwa wananchi hapo.Makala hiyo nafasi hawezi kuimudu hata kidogo kwa kuwa hata kauli zake huwa si za staha.naona mama atatengua na kuteua sana.wahasibu huwa siyo watu wa siasa sasa hapo makala kazi kweli kweli.Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana leo tarehe 03 April, 2024 jijini Dar Es Salaam, katika kikao chake maalum, chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Watanzania wengi wanasumbuliwa na Stockholm syndrome.Business as usual. Until kizaz cha watanzania watakapo toka usingizini
Hakuna mwenye ushawishi kilichobaki waache waokoteze hivyo hivyo ndo ujue CCM hakuna hazina tenaCCM imeishiwa watu. Inajaribu jaribu walewale walioshindwa. Watu ambao ni damaged beyond repair
Hatari sana
Barua ya Leo kikao Cha 2023.
HaweziHawezi
Ccm kungoka ngumu sana labda katiba mpya. Maana ukitaka katibu Tarawa utapata, ukichokwa hutupwi ukakasirika utatupwa katibu tawala, ukichokwa utapigwa mkuu wa wilaya.Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana leo tarehe 03 April, 2024 jijini Dar Es Salaam, katika kikao chake maalum, chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri...