Kwa msiofahamu hapa Zanzibar bar hazijatapakaa mitaani kama huko bara. Vileo vinauzwa kwenye kambi za jeshi na kwenye mesi za polisi. Mitaani hutaona bia.
Huku Zanzibar hakuna pahala wanaouza kitimoto. Na pia hakuna guest house.
Sasa basi, wakati huko bara, asilimia kubwa ya appointments huwa...