Siku si nyingi, Tanzania Bara tutaenda kujifunza Zanzibar namna ya kutelekeza miradi ya maendeleo

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
13,226
26,048
Naingalia Zanzibar kwa jicho la kipekee sana.

Wanafanya miradi kama ya Tanzania bara ina miradi yao inafanywa kwa ubora wa kipekee sana.

Naona majengo mengi yanayojengwa kwao wanatumia kampuni binafsi na wanajenga kwa kuzingatia hasa value for money. Jengo la Shule iliyojengwa Zanzibar huwezi fananisha na majengo tunayojenga huku Tanzania bara. Sie tunajenga bora liende as if kila siku tutakuwa tunajenga ila wao wanajenga kwa kuzingatia ubora na uzuri na kutumia maeneo yao madogo vizuri.

Kuanzia majengo ya hospitali, majengo ya shule na hata mahoteli yanayojengwa kwao vyote vinajengwa kwa ubora wa hali ya juu sana.

Hongereni sana Zanzibar. Endeleeni kuwafundisha Tanzania Bara namna ya kutumia akili vizuri na sio kila siku kujisifia kuwa na maliasili nyingi.

Naona wajinga wa bara wakija kujifunza kwenu siku si nyingi
 
Nchi ile ile.
Endelea kuishi kwa kukariri. Kwa namna wanavyofanya vitu vyao kwa ubora, itafika siku wataona waachane na nyie maana nyie mmekalia maneno maneno, wizi na ujinga tu!

Sasa wanakuja na Sheria bora zaidi ya uwekezaji katika Bara letu la Afrika. Nyie endeleeni kulala usingizi wa pono tu
 
Naingalia Zanzibar kwa jicho la kipekee sana.

Wanafanya miradi kama ya Tanzania bara ina miradi yao inafanywa kwa ubora wa kipekee sana.

Naona majengo mengi yanayojengwa kwao wanatumia kampuni binafsi na wanajenga kwa kuzingatia hasa value for money. Jengo la Shule iliyojengwa Zanzibar huwezi fananisha na majengo tunayojenga huku Tanzania bara. Sie tunajenga bora liende as if kila siku tutakuwa tunajenga ila wao wanajenga kwa kuzingatia ubora na uzuri na kutumia maeneo yao madogo vizuri.

Kuanzia majengo ya hospitali, majengo ya shule na hata mahoteli yanayojengwa kwao vyote vinajengwa kwa ubora wa hali ya juu sana.

Hongereni sana Zanzibar. Endeleeni kuwafundisha Tanzania Bara namna ya kutumia akili vizuri na sio kila siku kujisifia kuwa na maliasili nyingi.

Naona wajinga wa bara wakija kujifunza kwenu siku si nyingi
Naunga mkono hoja, tena mimi nimeshauri, kama HII sauti ni sauti ya kweli, 2025 huyu wa Zanzibar aje huku Bara!.
P
 
Endelea kuishi kwa kukariri. Kwa namna wanavyofanya vitu vyao kwa ubora, itafika siku wataona waachane na nyie maana nyie mmekalia maneno maneno, wizi na ujinga tu!

Sasa wanakuja na Sheria bora zaidi ya uwekezaji katika Bara letu la Afrika. Nyie endeleeni kulala usingizi wa pono tu
Tumwshindwa kujifunza kwa walioendelea ndiyo tuje tujifunze kwa huyu Mwinyi mwizi wa kura?
 
Naingalia Zanzibar kwa jicho la kipekee sana.

Wanafanya miradi kama ya Tanzania bara ina miradi yao inafanywa kwa ubora wa kipekee sana.

Naona majengo mengi yanayojengwa kwao wanatumia kampuni binafsi na wanajenga kwa kuzingatia hasa value for money. Jengo la Shule iliyojengwa Zanzibar huwezi fananisha na majengo tunayojenga huku Tanzania bara. Sie tunajenga bora liende as if kila siku tutakuwa tunajenga ila wao wanajenga kwa kuzingatia ubora na uzuri na kutumia maeneo yao madogo vizuri.

Kuanzia majengo ya hospitali, majengo ya shule na hata mahoteli yanayojengwa kwao vyote vinajengwa kwa ubora wa hali ya juu sana.

Hongereni sana Zanzibar. Endeleeni kuwafundisha Tanzania Bara namna ya kutumia akili vizuri na sio kila siku kujisifia kuwa na maliasili nyingi.

Naona wajinga wa bara wakija kujifunza kwenu siku si nyingi
msichojua zanzibar pamoja na kuungana na bara ila wanafuata mazuri mengi ya kipindi cha sultan maana teyari zanzibar kwa sehemu ilijengwa na sultan huku kwetu hakuna aliyekuwa amejenga kila kitu tunafanya wenyewe bahti mbaya zaidi wajengaji ni watu waliokulia kijijini huko mjini walikuja kipindi wamepata kazi sasa wanavyovijenga wanona wanajenga kweli kumbe ni vituko..!
 
Sijui kuhusu majengo, ila mwaka jana nimeshiriki kwenye project ya Barabarani ambayo ndani yake kuna ujenzi wa flyover mbili. Mkandarasi ni mchina madudu yaliyomo humo ni hatari sana, material engineer ni very incompetent, mradi mkubwa kama huo hauna consultant mchina ana buruza anavyotaka.
 
Naingalia Zanzibar kwa jicho la kipekee sana.

Wanafanya miradi kama ya Tanzania bara ina miradi yao inafanywa kwa ubora wa kipekee sana.

Naona majengo mengi yanayojengwa kwao wanatumia kampuni binafsi na wanajenga kwa kuzingatia hasa value for money. Jengo la Shule iliyojengwa Zanzibar huwezi fananisha na majengo tunayojenga huku Tanzania bara. Sie tunajenga bora liende as if kila siku tutakuwa tunajenga ila wao wanajenga kwa kuzingatia ubora na uzuri na kutumia maeneo yao madogo vizuri.

Kuanzia majengo ya hospitali, majengo ya shule na hata mahoteli yanayojengwa kwao vyote vinajengwa kwa ubora wa hali ya juu sana.

Hongereni sana Zanzibar. Endeleeni kuwafundisha Tanzania Bara namna ya kutumia akili vizuri na sio kila siku kujisifia kuwa na maliasili nyingi.

Naona wajinga wa bara wakija kujifunza kwenu siku si nyingi


Zanzibar mjini umefika na kuona majengo yao?
 
Naingalia Zanzibar kwa jicho la kipekee sana.

Wanafanya miradi kama ya Tanzania bara ina miradi yao inafanywa kwa ubora wa kipekee sana.

Naona majengo mengi yanayojengwa kwao wanatumia kampuni binafsi na wanajenga kwa kuzingatia hasa value for money. Jengo la Shule iliyojengwa Zanzibar huwezi fananisha na majengo tunayojenga huku Tanzania bara. Sie tunajenga bora liende as if kila siku tutakuwa tunajenga ila wao wanajenga kwa kuzingatia ubora na uzuri na kutumia maeneo yao madogo vizuri.

Kuanzia majengo ya hospitali, majengo ya shule na hata mahoteli yanayojengwa kwao vyote vinajengwa kwa ubora wa hali ya juu sana.

Hongereni sana Zanzibar. Endeleeni kuwafundisha Tanzania Bara namna ya kutumia akili vizuri na sio kila siku kujisifia kuwa na maliasili nyingi.

Naona wajinga wa bara wakija kujifunza kwenu siku si nyingi
Bara Wahuni wengi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ni kutelekeza au kutekeleza mkuu? Ni hilo tu kwa sasa 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Screenshot_20240112_185844_Chrome.jpg
 
Naingalia Zanzibar kwa jicho la kipekee sana.

Wanafanya miradi kama ya Tanzania bara ina miradi yao inafanywa kwa ubora wa kipekee sana.

Naona majengo mengi yanayojengwa kwao wanatumia kampuni binafsi na wanajenga kwa kuzingatia hasa value for money. Jengo la Shule iliyojengwa Zanzibar huwezi fananisha na majengo tunayojenga huku Tanzania bara. Sie tunajenga bora liende as if kila siku tutakuwa tunajenga ila wao wanajenga kwa kuzingatia ubora na uzuri na kutumia maeneo yao madogo vizuri.

Kuanzia majengo ya hospitali, majengo ya shule na hata mahoteli yanayojengwa kwao vyote vinajengwa kwa ubora wa hali ya juu sana.

Hongereni sana Zanzibar. Endeleeni kuwafundisha Tanzania Bara namna ya kutumia akili vizuri na sio kila siku kujisifia kuwa na maliasili nyingi.

Naona wajinga wa bara wakija kujifunza kwenu siku si nyingi
Nakubaliana na wewe Zanzibar kwenye ujenzinwa majengo wapo vizuri, shida ni uchafu wa mazingira na maintenance. Wana majengo mazuri yanayohitaji ukarabati tu mdogo lakini wanayatelekeza... Pia hawana utamaduni wa kufanya usafi... Wakiboresha hapo tu ile nchi itakuwa bora sana.
Hivi ni nini kinazuia waziri anayehusika na mazingira kuweka siku Moja Kwa wiki kwa ajili ya usafi
 
Back
Top Bottom