Mapinduzi ya Zanzibar yanaendelea, sasa hufanyika kila baada ya miaka mitano

Gulwa

JF-Expert Member
Jun 16, 2008
9,792
14,873
Mapinduzi ya mwaka 1964 yaliiondoa serikali halali na kuisimika serikali ya Mapinduzi. Watu waliuliwa wengi wakati na baada ya mapinduzi.
Baada ya mapinduzi tulitegemea kuona demokrasia ikitawala ili kupata viongozi waliopatikana kwa ridhaa ya wananchi.

Bahati mbaya sana kikundi cha watu waliofanya mapinduzi kimejimiliKisha uongozi, sio tu kwao bali na vizazi vyao.

Tumeona na kushuhudia jinsi chaguzi zinavyonajisiwa ili kuhakikisha uzao wa wanamapinduzi unabaki madarakani. Bahati mbaya hayo mapinduzi yamehamia hata huku Tanganyika. Ndio maana nasema kila baada ya miaka mitano yanafanyika mapinduzi yanayoitwa uchaguzi mkuu.

Hizi chaguzi hazitoi washindi halali bali wale watakaokubaliwa na uzao
wa wanamapinduzi.
 
Mapinduzi ya mwaka 1964 yaliiondoa serikali halali na kuisimika serikali ya Mapinduzi. Watu waliuliwa wengi wakati na baada ya mapinduzi.
Baada ya mapinduzi tulitegemea kuona demokrasia ikitawala ili kupata viongozi waliopatikana kwa ridhaa ya wananchi.

Bahati mbaya sana kikundi cha watu waliofanya mapinduzi kimejimiliKisha uongozi, sio tu kwao bali na vizazi vyao.

Tumeona na kushuhudia jinsi chaguzi zinavyonajisiwa ili kuhakikisha uzao wa wanamapinduzi unabaki madarakani. Bahati mbaya hayo mapinduzi yamehamia hata huku Tanganyika. Ndio maana nasema kila baada ya miaka mitano yanafanyika mapinduzi yanayoitwa uchaguzi mkuu.

Hizi chaguzi hazitoi washindi halali bali wale watakaokubaliwa na uzao
wa wanamapinduzi.
Usiwe na shaka, uchaguzi wa 2025 utakuwa huru na wa haki na utaendeshwa na kusimamiwa na Tume huru na Shirikishi ya Uchaguzi.
P
 
Hizo ni ndoto za mchana, ccm ni ileile na walewale
Please be optimistic, have optimism rather than pessimistic and pessimism!.
Ili tufanikiwe, tuondoe negativity na kujifunza kuwa positive with the spirit of positivity and the power of positivism in hopping for the best.
P
 
Please be optimistic, have optimism rather than pessimistic and pessimism!.
Ili tufanikiwe, tuondoe negativity na kujifunza positivity in hopping for the best.
P
Uwepo wa Tume huru ni utashi wa kisiasa wa chama tawala. Hawa tawala huangalia ushindi na ushindi daima.

Atakayesusia uchaguzi ujao, twawala wala tu na watakaoshiriki kula kidogo vya pembezoni.

Dawa, wapambane mumo humo kwa mbinu hizohizo. Fisi haachiwi bucha. Hoja za kitabu kipya na Tume Huru ziwe ajenda ya uchaguzi. Wananzengo wakielewa watasimama nawe wasipoelewa basi kazi iendelee
 
Mapinduzi ya mwaka 1964 yaliiondoa serikali halali na kuisimika serikali ya Mapinduzi. Watu waliuliwa wengi wakati na baada ya mapinduzi.
Baada ya mapinduzi tulitegemea kuona demokrasia ikitawala ili kupata viongozi waliopatikana kwa ridhaa ya wananchi.

Bahati mbaya sana kikundi cha watu waliofanya mapinduzi kimejimiliKisha uongozi, sio tu kwao bali na vizazi vyao.

Tumeona na kushuhudia jinsi chaguzi zinavyonajisiwa ili kuhakikisha uzao wa wanamapinduzi unabaki madarakani. Bahati mbaya hayo mapinduzi yamehamia hata huku Tanganyika. Ndio maana nasema kila baada ya miaka mitano yanafanyika mapinduzi yanayoitwa uchaguzi mkuu.

Hizi chaguzi hazitoi washindi halali bali wale watakaokubaliwa na uzao
wa wanamapinduzi.
Mapinduzi ya kufaidisha ukoo wa akina Karume na Mwinyi.
 
Back
Top Bottom