Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 573
- 2,553
Siku chake baada ya Kamishna wa jeshi la polisi Zanzibar kutoa taarifa ya kuimarishwa kwa ulinzi katika kipindi cha Krismas na mwaka mpya katika maeneo yote ya Zanzibar, watu zaidi ya 40 wenye silaha wameripotia kuvamia katika mitaa mbali mbali na kuwajeruhi wananchi na kuwaumiza kabla ya kutokomea kusikojulikana huku wakiwa wamefanya pia uporaji wa vitu mbalimbali.
Tunazungumza na Kamanda wa Polisi Zanzibar kutulezea zaidi.
Chanzo: DW Kiswahili