Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,835
Nimesoma historia ya Zanzibar imejaa mambo mengi ya giza ila nitajiita kwenye hili moja.
Je ni kweli Karume, Salmin Amour, Natepe pamoja na karibia ya maafisa wote wa baraza la Mapinduzi walioa kwa nguvu mabinti wa kiarabu, na kihindi baada ya mapinduzi ya Zanzibar?
Inasemekana kuwa mke wa Salmin Amour alimtoroka na kwenda kuolewa huko Norway baada ya kuwa kwenye ndoa aliyolazimishwa kwa muda
Na wazazi wa kiarabu waliwekwa ndani na kuchapwa mijeledi baada ya kugoma mabinti zao kuolewa na watu weusi!?
Je ni kweli Karume, Salmin Amour, Natepe pamoja na karibia ya maafisa wote wa baraza la Mapinduzi walioa kwa nguvu mabinti wa kiarabu, na kihindi baada ya mapinduzi ya Zanzibar?
Inasemekana kuwa mke wa Salmin Amour alimtoroka na kwenda kuolewa huko Norway baada ya kuwa kwenye ndoa aliyolazimishwa kwa muda
Na wazazi wa kiarabu waliwekwa ndani na kuchapwa mijeledi baada ya kugoma mabinti zao kuolewa na watu weusi!?