Kombe la Mapinduzi ni mnada wa wachezaji wa Zanzibar

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,316
12,614
Wazanzibar wana akili nyingi sana kuliko wale wenzao wa kuleee. Baada ya kuua ligi ya muungano baadae wakagundua kuwa walikosea. Ligi ya muungano ilikuwa sehemu ya wazi ya kuviona vipaji kutoka Zanzibar na kuvisajili kwenye timu za bara (ajira).

Baada ya walevi na ulevi wao wa kuuchukia muungano kuwapanda vichwani na kujitoa kwenye ligi ya Muungano na kuona hasara yao sasa wameirudisha ligi kuu kwa mlango wa nyuma kwa lengo la kuwatafutia masoko vijana wao.

Ukweli ni kwamba mashindano ya Mapinduzi ni mazuri sana lakini ni sehemu kamili ya kuwachosha, kuwaumiza wachezaji na kuzalisha majeruhi wengi wa timu za bara kutokana na ratiba ya mashindano kuwa mbaya, yaani unalazimika kucheza mechi kila baada ya siku moja.

Kama ligi ya muungano ni muhimu basi taratibu zote zifanywe kuirudisha rasmi ligi inayojumuisha timu za bara na visiwani kama zamani kuliko ratiba finyu kama hii, VINGINEVYO NI SAHIHI TIMU ZA BARA KUTUMIA VIKOSI B VYA TIMU ZAO.

Mfano, huwezi kujua kwanini yule mchezaji alimrukia Okrah bila sababu za msingi.


View: https://www.youtube.com/watch?v=g1zrIjZwcj0
 
Wazenji siku zote ni wapenda kitonga.
Ni kama watoto, akishiba Amalia, akiwa Na njaa analia, akiwa Na usingizi analia, akijikojolea analia, akiumwa analia, Na hata akimtaka mama yake analia pia. Wanashibia Tanganyika lakini bado wanalia wanaonewa. Tuzidi kuwabembeleza iko siku wataacha utoto.
 
Ndio unajua leo
Wachezaji wa Zanzibar wanatumia nguvu nyingi sana wanapocheza Na timu za bara ili kujiuza, kitu ambacho kinasababisha uchovu Na kuzalisha majeraha mengi kwa wachezaji. Ndio maana timu ya bara itakayochukua ubingwa wa mapinduzi itashindwa kufanya vizuri kwenye ligi ya bara
 
Wazanzibar wana akili nyingi sana kuliko wale wenzao wa kuleee. Baada ya kuua ligi ya muungano baadae wakagundua kuwa walikosea. Ligi ya muungano ilikuwa sehemu ya wazi ya kuviona vipaji kutoka Zanzibar na kuvisajili kwenye timu za bara (ajira).

Baada ya walevi na ulevi wao wa kuuchukia muungano kuwapanda vichwani na kujitoa kwenye ligi ya Muungano na kuona hasara yao sasa wameirudisha ligi kuu kwa mlango wa nyuma kwa lengo la kuwatafutia masoko vijana wao.

Ukweli ni kwamba mashindano ya Mapinduzi ni mazuri sana lakini ni sehemu kamili ya kuwachosha, kuwaumiza wachezaji na kuzalisha majeruhi wengi wa timu za bara kutokana na ratiba ya mashindano kuwa mbaya, yaani unalazimika kucheza mechi kila baada ya siku moja.

Kama ligi ya muungano ni muhimu basi taratibu zote zifanywe kuirudisha rasmi ligi inayojumuisha timu za bara na visiwani kama zamani kuliko ratiba finyu kama hii, VINGINEVYO NI SAHIHI TIMU ZA BARA KUTUMIA VIKOSI B VYA TIMU ZAO.

Mfano, huwezi kujua kwanini yule mchezaji alimrukia Okrah bila sababu za msingi.


View: https://www.youtube.com/watch?v=g1zrIjZwcj0

Ni sawa na ni jambo jema
 
Back
Top Bottom