Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.
Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unastahiili kuombewa.
Hata hivyo, cha kushangaza...
Kuulizwa maswali.
Yesu alikuwa haogopi kuulizwa maswali. Hata kama ni ya kijinga atatafuta namna ya kukujibu ili uache huo ujinga.
Watu wengi wanaelewa kwa njia ya maswali. Nimeona wengi wanapenda kuongea mambo yao ila hawana ujasiri wa kuwaacha wanaowasikiliza wahoji na kuuliza maswali ili...
Wapendwa wadadavuzi na wadadisi, great thinkers, wa hapa JamiiForums na hata visitors nawasihi tuache porojo, tuzame ndani kwenye kuusaka ukweli.
Hii naamini ni mada mbegu itakayo ibua mjadala mpana .
Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume, Pascal Mayalla, Infantry Soldier karibuni tujadiliane.
Wanaukumbi.
Ukiristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukuliwa kwa wale wote watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu Kristo nchini Israel ni marufuku.
Sikiliza vizuri yaliyomo kwenye video hii, usinishambulie mimi nimeleta kama ilivyo
Kwa mujibu wa Shirika la Takwimu la Central...
Amani iwe nanyi
Angalizo: Kabla ya yote Enyi ndugu zangu napenda kutoa angalizo kwamba Yatakayoongelewa hapa ni kwa lengo la kujifunza na si katika muktadha wa maana yoyote nyingine..
Kama mada inavyojieleza Kuhusu Mafundisho ya hao watakatifu wawili..
watakatifu hao wamekuwa sio tu na...
Ukisoma na kutafakari kwa umakini kuhusu Yesu unagundua kwamba alikuwa ni wale watu ambao jamii inawachukulia kwamba wamepinda yani outcast.
Hata wale wanafunzi wake aliokuwa akiongozana nao jamii inaonekaan ilikuwa inawachukulia kama watu wasiokuwa na maadili waliopotoka yani waliopinda.
Ndio...
Usipende mambo ya kushindwa.
Biblia inasema
" Kila alitendalo litafanikiwa. "Zaburi 1:3
" Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu" Wafilipi 4:13
Hivyo kama ni mkristo unayejitambua hupaswi kukubali kushindwa jambo lolote ambalo umeanza na Mungu.
Badala ya kutafsiri chochote kwako...
Kuna wanaosema Yesu ni Mungu, na wapo wanaosema Allah ni Mungu. Pia kuna wengine wanaosema kwamba Yehova ni Mungu.
Je tunaweza kuwa na miungu watatu na wakawa na nguvu moja?
Je nini uhusiano uliopo kati ya watatu haWa?
Mimi naona hawa ndio chanzo cha ukosefu wa amani duniani.
Mungu aliamua kuwapa wayahudi nchi ya Kanani ufalme wenye nchi zaidi ya Tano baada ya kuwa wenyeji wa nchi Ile walikuwa wakiabudu mizimu.
Pale ilitengenezwa uadui mkubwa na hasa kosa la Wana Israel waliambiwa na Mungu kuwa wawafutie mbali Yale makabila yenye kuabudu miungu mingine .
Mungu...
Naomba niweke hili wazi kabla sijaendelea na hiii mada kwenye kurasa huu, sipo hapa kuhukumu wala kukosoa imani ya mtu yeyote yule kuanzia kwenye madhehebu na iman na dini tofauti
Moja ya vitu ambavyo wakristo wengi wanapambana navyo kwenye kipindi hiki cha mwisho wa kufunga historia ya...
Kina Mwabukusi na wenzake wametokea na inayoaminika kuwa ni agenda muarobaini wa matatizo yetu ya muda mrefu kama nchi:
"Kupambana na maadui zetu kwa vitendo."
Haipo siri kuwa hii itatuvusha, na hatimaye ushindi ni dhahiri.
"Kwani ni lini maneno matupu hata yalipata kuvunja mfupa?"
Ajabu na...
Wdau hamjamboni nyote?
Nimeweka nukuu ya Nabii Mke wa Waadventista Wasabato Hellen G White akidai kuambiwa saa na siku ya kurudi kwa Yesu Kristo katika njozi
"As God has shown me in holy vision ... we heard the voice of God like many waters, which gave us the day and hour of Jesus' coming"...
Wala nisingepepesa macho. Ningechagua kuwa Mtume Muhamad. Tabia zangu na zake zinaendana sana. Napenda sana maisha ambayo aliishi kutokana na tabia zangu.
Maisha ya Yesu Masihi yalikuwa magumu sana na ya kubore. Hayakuwa na chereko chereko, hakuwa aki enjoy life.
Mimi ningeamua kuishi kama...
Jina la Yesu Kristo linapotamkwa kutatua jambo kama ugonjwa, mauti, au kutoa pepo hutamkwa mara moja TU na jambo lile likatendeka. Iko mifano mingi kwenye Agano Jipya, mmojawapo ni ule wa Petro kumponya kiwete pale kwenye mlango wa hekalu. Hawa wahubiri wetu wa siku hizi wa kulitaja jina la Yesu...
Basilisk ( Basiliscus basiliscus ) ni aina ya mijusi katika familia Corytophanidae. Spishi hiyo hupatikana Amerika ya Kati na Amerika Kusini, ambapo hupatikana karibu na mito na vijito katika misitu ya mvua.
Pia inajulikana kama mjusi "Jesus Christ", Jesus lizard, lizard Jesus wa Amerika...
Kwenye majukwaa ya hadhara utasikia Bwana Yesu Asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo
Tofauti hapo ni nini ?
Au utasikia "Asalam Aleikum, Bwana Asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo.
Zinatumika salamu za dini zote mbili ili kuleta balance, sasa kwa nini za Wakristo ziwe mbili? Na mbili zenyewe ni kitu kile...
Mathayo 9:16
[16]Hakuna mtu atiaye kiraka cha nguo mpya katika vazi kuukuu; maana kile kilichotiwa huondoa kipande cha lile vazi, na pale palipotatuka huzidi.
Yesu na Maria Magdalena
Watu wengi wanajua hadithi ya Yesu wa Nazareti kutoka kwa Biblia ya Kikristo. Alizaliwa huko Bethlehemu, mwana wa Mariamu, ambaye alikuwa bikira na ambaye alimchukua Yesu mimba kwa njia isiyo ya kawaida. Alilelewa na Maria na mumewe Joseph, ambaye alikuwa seremala. Kama...
Kama YUSUFU alimlea YESU,
Nawashauri wanaume muache kuhangaika na DNA.
Tulieni tu, maana huwa NI mipango ya Mungu.
Na huwezi kujua huyo unayemlea Leo kesho atakuja kukusaidia kwa kiasi gani.
Hata wewe unayekataa kumlea mtoto wa mwanamke uliyemkuta NAE hii inakuhusu.
NIKO PALE NIMEKAA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.