Wakristo huyu msanii wa injili ayeimba yesu ninyandue mbona anaachwa? Na wala hatujasikia kauli kutoka kwa viongozi

Chawa wa lumumbashi

JF-Expert Member
Nov 19, 2022
793
1,749
Huu ni mtihani kwakweli hivi inakuaje mtu anaimba yesu ninyandue na bado watu wa dini hiyo wapo kimya? Ingekuwa upande wa pili sasa hivi angekatwa kichwa au wamemrest in peace

Tunaomba kauli zenu viongozi wa kikristo kutokana na huu ujinga wa huyu mwimbaji wa injili.ili tumle.kichwa sie# yesu ninyandue?
 
Huu ni mtihani kwakweli hivi inakuaje mtu anaimba yesu ninyandue na bado watu wa dini hiyo wapo kimya? Ingekuwa upande wa pili sasa hivi angekatwa kichwa au wamemrest in peace

Tunaomba kauli zenu viongozi wa kikristo kutokana na huu ujinga wa huyu mwimbaji wa injili.ili tumle.kichwa sie# yesu ninyandue?#
Aliyeimba ni Ke au Me?
 
Mbona wameshaifungia hiyo nyimbo kwenye platform zote pale Kenya ikowemo kupiga marufuku kupigwa au kuimbwa sehemu yoyote Kenya.
 
Huu ni mtihani kwakweli hivi inakuaje mtu anaimba yesu ninyandue na bado watu wa dini hiyo wapo kimya? Ingekuwa upande wa pili sasa hivi angekatwa kichwa au wamemrest in peace

Tunaomba kauli zenu viongozi wa kikristo kutokana na huu ujinga wa huyu mwimbaji wa injili.ili tumle.kichwa sie# yesu ninyandue?#
Kwa akili yako fupi unataka warc wafanye nini zaidi ya kukaa kimya?

Ww unazani watu wote wameuona?
 
Huu ni mtihani kwakweli hivi inakuaje mtu anaimba yesu ninyandue na bado watu wa dini hiyo wapo kimya? Ingekuwa upande wa pili sasa hivi angekatwa kichwa au wamemrest in peace

Tunaomba kauli zenu viongozi wa kikristo kutokana na huu ujinga wa huyu mwimbaji wa injili.ili tumle.kichwa sie# yesu ninyandue?#
Ku-deal na huyo, ni kujitoa akili. Ni mdogo sana ukilinganisha na ukristo. Halafu wakristo tunafanyaga reasoning
 
Huu ni mtihani kwakweli hivi inakuaje mtu anaimba yesu ninyandue na bado watu wa dini hiyo wapo kimya? Ingekuwa upande wa pili sasa hivi angekatwa kichwa au wamemrest in peace

Tunaomba kauli zenu viongozi wa kikristo kutokana na huu ujinga wa huyu mwimbaji wa injili.ili tumle.kichwa sie# yesu ninyandue?#
Hao unao waambia na huyo msanihii wote ni makafiri tu ..dugu moyaaa
 
Huu ni mtihani kwakweli hivi inakuaje mtu anaimba yesu ninyandue na bado watu wa dini hiyo wapo kimya? Ingekuwa upande wa pili sasa hivi angekatwa kichwa au wamemrest in peace

Tunaomba kauli zenu viongozi wa kikristo kutokana na huu ujinga wa huyu mwimbaji wa injili.ili tumle.kichwa sie# yesu ninyandue?#
Wacheni magugu na ngano vikue pamoja
 
Wakenya wana nyimbo za ajabu
Kuna mwingine anaitwa Embarambamba naye the same.

Mungu wa Wakristo hajaturuhusu kumpigania. Si unakumbuka Yesu mwenyewe aliambiwa ajishushe msalabani na hakujitikisa hata. Yuko hivyo, hukumu iko huko mbeleni tusipotubu.
 
Huu ni mtihani kwakweli hivi inakuaje mtu anaimba yesu ninyandue na bado watu wa dini hiyo wapo kimya? Ingekuwa upande wa pili sasa hivi angekatwa kichwa au wamemrest in peace

Tunaomba kauli zenu viongozi wa kikristo kutokana na huu ujinga wa huyu mwimbaji wa injili.ili tumle.kichwa sie# yesu ninyandue?#
Sasa si ananyanduliwa yeye sisi tuseme nini?
 
Back
Top Bottom