Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Hakika nawaambieni Mungu wa kweli hukaa ndani yetu, alisikika mke wa Hayati Billionaire Msuya akiimba baada ya hukumu kumpenda zaidi yeye pale kisutu, yeyote anaejua maana ya kilio na kusifu kuliko na malaika huyo mwanamke alikosa muunganiko wa sauti, kiini cha sauti na Nuru ya mwili hasa uso wake ulikataliwa na malaika wa kweli wa Mungu aliehai ambae ni Mungu Mkuu na Mungu wa haki na kweli.
Yesu na Mungu wakitamkwa katika najisi sauti na lugha ya mwili haviendani, furaha itokayo kwa Bwana Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu vilikataa.
Yeyote aliye mfuasi wa kweli wa Mungu apitie Millard Ayo TV ajionee mtanziko wa huku hio kwa hakika ni simanzi. Nyuma ya Pazia Hayati Billionaire Msuya litaweka nyufa kama ishara ya kilio cha mfu.
Hujateseka mpaka ukose haki ndio utajua maana ya kuteseka.
Wadiz
Yesu na Mungu wakitamkwa katika najisi sauti na lugha ya mwili haviendani, furaha itokayo kwa Bwana Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu vilikataa.
Yeyote aliye mfuasi wa kweli wa Mungu apitie Millard Ayo TV ajionee mtanziko wa huku hio kwa hakika ni simanzi. Nyuma ya Pazia Hayati Billionaire Msuya litaweka nyufa kama ishara ya kilio cha mfu.
Hujateseka mpaka ukose haki ndio utajua maana ya kuteseka.
Wadiz