Zaidi ya Wapalestina 200 wanaoishi Gaza wampokea Yesu kimuujiza

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,587
15,373
Wagaza hawa wanadai walitokewa na Yesu ndotoni, na kupewa maelekezo.

Kuna vuguvugu kubwa la kikristo linaloendelea chini kwa chini katika kila ardhi ya mwarabu muislam. Pale pagumu kabisa Yesu mwenyewe anaingia front. Hii kitu imetokea gaza.

Hii si mara ya Kwanza. Mungu alimtokea Abram kwa style hiihii.

Yesu alimtokea Paulo kwa style hiihii. Huko somalia kuna taarifa maelfu ya watu wanatokewa kwa njia hizihizi.

Kimsingi hakuna atakayepote kwa bahati mbaya. Mpangokazi wa Mungu kumuokoa mwanadamu ni wa juu sana kiasi kwamba kila atakayepotea atapotea kwa kupenda na kukataa kwa makusudi mpangokazi wa kuokolewa kwake.

Chanzo

 
Wagaza hawa wanadai walitokewa na Yesu ndotoni, na kupewa maelekezo.

Kuna vuguvugu kubwa la kikristo linaloendelea chini kwa chini katika kila ardhi ya mwarabu muislam. Pale pagumu kabisa Yesu mwenyewe anaingia front. Hii kitu imetokea gaza.

Hii si mara ya Kwanza. Mungu alimtokea Abram kwa style hiihii.

Yesu alimtokea Paulo kwa style hiihii. Huko somalia kuna taarifa maelfu ya watu wanatokewa kwa njia hizihizi.

Kimsingi hakuna atakayepote kwa bahati mbaya. Mpangokazi wa Mungu kumuokoa mwanadamu ni wa juu sana kiasi kwamba kila atakayepotea atapotea kwa kupenda na kukataa kwa makusudi mpangokazi wa kuokolewa kwake.

Chanzo

Uharo
 
Wagaza hawa wanadai walitokewa na Yesu ndotoni, na kupewa maelekezo.

Kuna vuguvugu kubwa la kikristo linaloendelea chini kwa chini katika kila ardhi ya mwarabu muislam. Pale pagumu kabisa Yesu mwenyewe anaingia front. Hii kitu imetokea gaza.

Hii si mara ya Kwanza. Mungu alimtokea Abram kwa style hiihii.

Yesu alimtokea Paulo kwa style hiihii. Huko somalia kuna taarifa maelfu ya watu wanatokewa kwa njia hizihizi.

Kimsingi hakuna atakayepote kwa bahati mbaya. Mpangokazi wa Mungu kumuokoa mwanadamu ni wa juu sana kiasi kwamba kila atakayepotea atapotea kwa kupenda na kukataa kwa makusudi mpangokazi wa kuokolewa kwake.

Chanzo

Tusubiri mwisho wake
 
Wagaza hawa wanadai walitokewa na Yesu ndotoni, na kupewa maelekezo.

Kuna vuguvugu kubwa la kikristo linaloendelea chini kwa chini katika kila ardhi ya mwarabu muislam. Pale pagumu kabisa Yesu mwenyewe anaingia front. Hii kitu imetokea gaza.

Hii si mara ya Kwanza. Mungu alimtokea Abram kwa style hiihii.

Yesu alimtokea Paulo kwa style hiihii. Huko somalia kuna taarifa maelfu ya watu wanatokewa kwa njia hizihizi.

Kimsingi hakuna atakayepote kwa bahati mbaya. Mpangokazi wa Mungu kumuokoa mwanadamu ni wa juu sana kiasi kwamba kila atakayepotea atapotea kwa kupenda na kukataa kwa makusudi mpangokazi wa kuokolewa kwake.

Chanzo

Wayahudi waliolowea Israeli lini watampokea YESU maana wanamchukia kupita kiasi.
 
Hata kapicha jamani🤣🤣🤣...Magazeti ya uchochoroni.
1702614006896.jpg
 
Back
Top Bottom